Nahodha wa Iran Javad Nekounam aomba mapema jezi ya Messi
|
Nahodha wa Iran Javad Nekounam hakuona sababu ya kuchelewa au kusubiri kuondoka na jezi ya mshambuliaji wa Argentina Lionel Messi mara baada ya mchezo baina yao kumalizika huko Belo
Horizonte.
Mchezaji huyo wa Iran ameripotiwa kutokuvua jezi yake katika mchezo dhidi ya Nigeria ambao ulimalizika kwa sare lakini inavyoonekana amedhamiria baada ya mchezo wao hii atabadilishana jezi na Messi iwe kumbukumbu kwake.
Hapaswi kulaumiwa kwa hilo.
|
No comments:
Post a Comment