KWA MAWASILIANO ZAIDI TUMIA BARUA PEPE rockersports212@yahoo.com AU TUPIGIE KUPITIA NAMBARI 0767166607 AU 0717166607. KARIBU SANA. 66666666607 AU 0717166607

Saturday, July 5, 2014

Muda mfupi ujao katika mchezo wa robo fainali Argentina dhidi ya Ubelgiji

Katika historia za kukutana Argentina imeshinda mara tatu katika mara nne zilipokutana wakati Ubelgiji ikishinda mara moja mwaka 1982 kwa kuifunga Argentina kwa goli 1 - 0 katika hatua ya makundi.
Argentina ilitolewa mara tatu ya mwisho katika hatua ya robo fainali. Ilipoteza dhidi ya Ujerumani mwaka 2010 na dhidi ya Uhalanzi mwaka 1998 na baadae ikatolewa na Ujerumani mwaka 2006 kwa mikwaju ya penalti.
Ukiachilia mbali kuondolewa kwa mikwaju ya penalti, Argentina haijawahi kushinda kwenye hatua ya robo fainali tangu ilipoifunga England mwaka 1986 magoli 2 -1.
Tegemeo la Argentina kwa sasa Lionel Messi ambaye amefunga au kusaidia kufungwa kwa magoli matano kati magoli saba Argentina iliyofunga katika kombe la dunia la mwaka huu 2014.
Magoli matatu ambayo Messi aliyafunga manne aliyafunga nje ya kisanduku cha kumi na nane.
Kwa upande wa Ubelgiji hii ni mara ya pili kwao kufikia hatua ya robo fainali. Mara ya mwisho iliifunga Uhispania mwaka 1986 kuingia hatua ya nne bora.

Argentina

Ubelgiji

01 Romero
04 Zabaleta
23 Basanta
14 Mascherano
15 Demichelis
02 Garay
22 Lavezzi
06 Biglia
09 Higuaín
10 Messi
07 Di María

Wachezaji wa Akiba

03 Campagnaro
05 Gago
08 Pérez
11 Rodríguez
12 Orión
13 Fernández
17 Fernández
18 Palacio
19 Álvarez
20 Agüero
21 Andujar

01 Courtois
02 Alderweireld
05 Vertonghen
06 Witsel
15 van Buyten
04 Kompany
11 Mirallas
08 Fellaini
17 Origi
07 De Bruyne
10 Hazard

Wachezaji wa Akiba

03 Vermaelen
09 Lukaku
12 Mignolet
13 Bossut
14 Mertens
16 Defour
18 Lombaerts
19 Dembélé
20 Januzaj
21 Vanden Borre
22 Chadli
23 Ciman

No comments:

Post a Comment