Tom Cleverley huenda akaondoka kuelekea Aston Villa kabla ya siku ya mwisho ya mwisho ya dirisha la usajili |
Tom
Cleverley amekutana na bosi msaidizi wa Aston Villa Roy Keane kujadili uwezekano wa kujiunga na klabu hiyo.
Wakati Shinji Kagawa akisafiri kuelekea Ujerumani ijumaa hii mchana kumalizia kurejea kwake Borussia Dortmund kwa ada ya pauni milioni £8, kwa upande wake
Cleverley, klabu ya Villa imetenga kiasi cha pauni milioni £7 ambaye pia anawavutia Everton, Hull
na Valencia na tayari ameelekea Birmingham.
Mchezaji wa zamani Old
Trafford Keane amepiga hatua mbele kujaribu kupata huduma ya mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 25 kwa kutaka kumpatia nafasi katika kikosi cha kwanza huko Midlands.
Cleverley amekutana na meneja msaidizi wa Villa Roy Keane (kulia, pembeni yake ni meneja Paul Lambert)
No comments:
Post a Comment