Rockersports na usajili na tetesi zote za usajili kabla ya kufungwa dirisha la usajili usiku wa leo
Radamel Falcao ajiunga na Manchester United kwa mkopo wa msimu mzima
Falcao alitakiwa na Arsenal na Man City
Arsenal inapigana kupata saini ya Matija Nastasic na Ron Vlaar
Lewis Holtby awasili Ujerumani Germany kwa mkopo wa kipindi chote cha msimu ambapo anajiunga na Hamburg
Tottenham inaongoza mbio za kumnasa Danny Welbeck ambapo Arsenal nao wanamtaka mshambuliaji huyo wa Manchester United
Mlinda mlango aliye na wakati mzuri katika klabu ya Chelsea Petr Cech anatakiwa na QPR
Javier Hernandez amepigwa picha akifanya vipimo vya afya kabla ya kujiunga na Real Madrid
Arturo Vidal huenda akasalia Juventus baada ya Manchester United kushindwa mpango wa pauni milioni £30
Sandro anatgakiwa na QPR huku Tottenham wakihitaji pauni milioni £16
Victor Valdes yuko katika mazunguzmo ya kujiunga na Liverpool akiwa huru
Benjamin Stambouli amefanikiwa vipimo vya afya kabla ya kuelekea Tottenham
Neil Warnock anataka wachezaji wanne kujiunga na Crystal Palace
Dirisha la usajili linafungwa saa tano kamili usiku huu wa Jumatatu.
No comments:
Post a Comment