KWA MAWASILIANO ZAIDI TUMIA BARUA PEPE rockersports212@yahoo.com AU TUPIGIE KUPITIA NAMBARI 0767166607 AU 0717166607. KARIBU SANA. 66666666607 AU 0717166607

Thursday, August 1, 2013

Arsene Wenger: Arsenal bado inaendelea na zoezi la usajili lakini tumekamilika.

Arsene Wenger anasisitiza hajakamilisha usajili badoGetty)
Arsene Wenger amesisitiza kuwa bado anatafuta namna ya kupata sura nyingine mpya katika klabu yake ya Arsenal majira haya ya kiangazi licha ya jitihada za zoezi la usajili la klabu hiyo kuonekana kuwa katika hali ya kutereza .
Washika mitutu hao mpaka sasa wamemsajili mchezaji mmoja tu Yaya Sanogo tangu kumalizika kwa msimu uliopita pamoja na kuhusishwa na kutaka kuwachukua wakali kadha kutoka sehemu mbalimbali kama Bernard, Gonzalo Higuain na Luis Suarez.

Bosi Wenger anasema bado anaangalia nani wa kumsajili lakini amewaambia mashabiki wa klabu hiyo kuwa kikosi chake cha sasa kitapambana na changamoto ya michezo ya ligi bila hata ya kuongeza mchezaji mwingine.

‘Tunafanya kazi kwa lengo la kuimarisha kikosi, lakini tunajikita kwa vijana ambao wana nafasi hapa, ambao walianza katika ligi Premier League, kama vile (Wojciech) Szczesny, Jenkinson, (Alex Oxlade-)Chamberlain, (Jack) Wilshere, (Aaron) Ramsey, (Theo) Walcott jambo ambalo ni la kipekee hakuna aliyewahi kufanya hilo,’ .
Wenger still working on new signings
Yaya Sanogo (kulia) ndiye mchezaji pekee aliyesajiliwa na Arsenal kiangazi(Picture: Reuters)

No comments:

Post a Comment