KWA MAWASILIANO ZAIDI TUMIA BARUA PEPE rockersports212@yahoo.com AU TUPIGIE KUPITIA NAMBARI 0767166607 AU 0717166607. KARIBU SANA. 66666666607 AU 0717166607

Sunday, November 2, 2014

Sergio Aguero apeleka kilio kwa United

Ilikuwa ikionekana ni ngumu leo kumfunga David de Gea. Kwa upande wake Sergio Aguero haikuwa hivyo kwani alidhihirisha kuwa yeye ni noma alipoifungia bao pekee kwa timu yake na kuipa ushindi City dhidi ya United.

Tayari dakika 63 zilikwisha kupita wakati Aguero akifunga goli hilo na kudhihirisha kuwa yeye ndiye shujaa wa 'derby' ya Manchester hii leo.

Wasiwasi ulitanda tangu mapema kufuatia United kupungua na kusali kumi kunako dakika ya 39 wakati Chris Smalling alipoondoshwa uwanjani na mwamuzi kwa makosa mawili huku pia Marcos Rojo akiumia bega.
Sergio Aguero converts Gael Clichy's low cross from the left to put Manchester City 1-0 ahead in the Manchester derby
Sergio Aguero akiunganisha krosi ya Gael Clichy kutoka kushoto na kuwapa uongozi Manchester City wa bao 1-0 dhidi ya majirani zao Manchester United

Juhudi za Aguero zikionekana katika picha akipiga mpira unaomzidi David de Gea kunako dakika ya 63 uwanja wa Etihad

Aguero (third from left) is mobbed by his team-mates after giving Manchester City the lead against their local rivals United
United players (from left to right) Paddy McNair, Wayne Rooney and Luke Shaw appear dejected following City's goal

No comments:

Post a Comment