KWA MAWASILIANO ZAIDI TUMIA BARUA PEPE rockersports212@yahoo.com AU TUPIGIE KUPITIA NAMBARI 0767166607 AU 0717166607. KARIBU SANA. 66666666607 AU 0717166607

Wednesday, July 18, 2012

MANJI NA KAMATI YAKE YA UTENDAJI SIKU YA KWANZA YA ZIARA YAKE JANGWANI JANA.

Yusufu Manji mwenyekiti wa Yanga akiangalia mchezo wake wa kwanza kama mwenyekiti ambapo Yanga iliaanza kwa ushindi wa kishindo wa mabao 7-1 dhidi ya Al Saam Wau ya Sudani Kusini(Picha zote msaada wa Emmanuel Ndege)
  
















Kamati ya utendaji mpya ya Yanga, kutoka kushoto Manji, Bin Kleb,Manyama , Sanga na katibu wao Mwesigwa.
 



Neno lake zito ni kuhakikisha Yanga inashinda michezo yake yote ya Kombe la  Kagame ndipo atakapo anza kuwapa raha wachezaji wake anasema akianza sasa wachezaji wake watabweteka . Amewaahidi kuwa minofu ya nyama na hayuko tayari kuona timu yake inashida ya kitu chochote amewatakia kila kheri wachezaji wake na ameahidi kuwa karibu na timu hiyo kila watakapo muhitaji.

No comments:

Post a Comment