KWA MAWASILIANO ZAIDI TUMIA BARUA PEPE rockersports212@yahoo.com AU TUPIGIE KUPITIA NAMBARI 0767166607 AU 0717166607. KARIBU SANA. 66666666607 AU 0717166607

Monday, June 17, 2013

WACHEZAJI WAKALI WA SOKA MAPUMZIKONI FUKWELI

 Portuguese midfielder Raul Meireles and his wife Ivone enjoy a stroll down the beach in Miami

Meireles alionyesha kifua chake kilichojaa tattoo akiwa na mkewe ufukweli huko Miami, Gerrards ufukweni Ibiza na Beckham arejea kazini Uchina

Baada ya msimu mgumu wa soka kote duniani, wachezaji wa soka duniani wamekuwa katika msimu wa mapumziko ya kiangazi.

Rockersports kupitia mtandao wa Sportsmail inaendelea kukupatia hatua za mapumziko ya wachezaji hao kutoka Las Vegas, mpaka Dubai, Ibiza na kurejea Las Vegas kila siku fuatilia.
 
RAUL MEIRELES (MIAMI)
Kiungo wa kireno Meireles ameonekana akivinjari huku akiuanika mwili wake uliojaa tatoo juani katika pwani ya Miami akiwa na mpenzi wake Ivone ambaye naye mwili wake umejaa mitatoo.

Meireles alielekea England mwaka 2010 alipojiunga na Liverpool akitokea Porto ya Ureno. Baadaye alijiunga na Chelsea na kujiunga na meneja wake wa zamani alipokuwa Porto Andre Villas-Boas.

Kiungo huyo mwenye umri wa miaka 30 baadaye akajiunga na Fenerbahce ya Uturuki msimu uliopita kwa uhamisho wa pauni milioni £8 ambapo aliungana na nyota mwenzake katika klabu ya Liverpool  Dirk Kuyt.
Portuguese midfielder Raul Meireles and his wife Ivone enjoy a stroll down the beach in Miami
Kiungo mreno Raul Meireles akiwa na mkewe Ivone ndani ya ufukwe ya Miami 

Body art: Ivone Meireles shows off her tattoos
 Ivone Meireles akionyesha tattoos za mwili wake
 
STEVEN GERRARD (IBIZA)
Kwa upande wa kiungo nguli wa Liverpool  Steven Gerrard naye alikuwa katika pwani ya Ibiza akiwa na mkewe Alex.
Gerrards alielekea huko kwa ajili ya kuogelea katika pwani hiyo ya bahari ya Mediterranean ambapo maji yalikuwa yabaridi sana.
Nahodha huyo wa Liverpool pia alikutana na nyota mwenzake wa zamani ndani ya Anfield Jamie Carragher, ambaye aliastaafu rasmi mwishoni mwa msimu.
Gerrard hajaonekana dimbani tangu mchezo wa Merseyside derby mwanzoni mwa mwezi May, baada ya klabu yake kuthibitisha kuwa kiungo atakosekana mpaka kumalizika kwa msimu kufuatia upasuaji ya bega.
Kiungo huyo anatarajiwa kuwa sawasawa katika kipindi cha kuanza kwa msimu.
Splash: Steven and Alex Gerrard went for a dip in the sea during their holiday in Ibiza
Steven na Alex Gerrard wakiingia zaidi katika maji wakati wa mapumziko yao huko Ibiza

Never walk alone: Former team-mates Gerrard and Jamie Carragher enjoyed the sun at an Ibiza beach last week
Never walk alone: Gerrard na Jamie Carragher

DAVID BECKHAM (CHINA)
David Beckham amesafiri kuelekea China , ambako amekubali kufanya kazi ya ubalozi wa soka la nchi hiyo duniani.
Nhodha huyo wa zamani wa England alipewa kazi hiyo mwezi machi kwa lengo kuamsha upya soka la China.
Nyota huyo mwenye umri wa miaka 38 alitangaza kuacha soka mara baada ya kumalizika kwa msimu uliopita baada ya kuitumikia Paris Saint-Germain nusu msimu.
Beckham alivitumikia vilabu mbalimbali vikubwa duniani ikiwemo Manchester United, Real Madrid  AC Milan.
On tour: David Beckham is on a week-long trip to China, where he is a global football ambassador
David Beckham akiwa safarini akielekea China, ambako atafanya kazi ya ubalozi wa soka

 Ambassador: Beckham talks to media after arriving in Beijing
Blozi Beckham akiongea na vyombo vya habari mara baada ya kuwasili Beijing

Good cause: Beckham visits Soong Ching Ling's Former Residence to donate a car to his foundation
Balozi Beckham akitembelea Soong Ching Ling

KYLE WALKER na JONNY EVANS (BARBADOS)
Msimu umemalizika lakini hiyo si kwamba imemaliza kukutana kwa Manchester United dhidi ya Tottenham nje ya Old Trafford au  White Hart Lane, ilikuwa ni makutano ya kirafiki na maelewano baina ya Kyle Walker na Jonny Evans katika pwani ya Barbados.

Mlinzi wa kimataifa wa Ireland ya kaskazini Evans akiwa na mpenzi wake mtangazji wa MUTV Helen McConnell, ambao waliona kiangazi hii.
Fancy seeing you here: United defender Jonny Evans ran into Tottenham's Kyle Walker in Barbados
Mlinzi wa United Jonny Evans akimfuata Kyle Walker wa Tottenham pwani ya Barbados walipokutana.

No comments:

Post a Comment