KWA MAWASILIANO ZAIDI TUMIA BARUA PEPE rockersports212@yahoo.com AU TUPIGIE KUPITIA NAMBARI 0767166607 AU 0717166607. KARIBU SANA. 66666666607 AU 0717166607

Monday, December 16, 2013

MAN UNITED TRANSFER WINDOW: Januari ni kufuma na kumua kikosi, Reus na Herrera katika rada ya Moyes.

New blood: David Moyes has to get his signings right in January to help improve Manchester United's poor form

Wakati dirisha dogo la usajili nchini England likiwa linaelekea kufunguliwa na huku wakuu wa vilabu mbalimbali wakiwa na malengo mbalimbali ya kufanyia mabadiliko vikosi vyao, kwa upande wa Manchester United mambo yanaonekana kuwa ni zaidi ya biashara hususani kwa wachezaji wenye majina makubwa zaidi.

Baada ya kuwakosa wachezaji kadhaa David Moyes kwa hakika atakuwa akitaka kuboresha kikosi chake mwezi ujao wa Januari.

Bosi huyo mpya atakuwa akisaka wachezaji watakao kuwa na uwezo wa kusababisha mashambulizi kutokea eneo la kati wakati usajili wa kipindi cha kiangazi wa kiungo Marouane Fellaini ukionekana kuendelea kutokuzaa matunda.
What do they need?
United imekuwa ikisaka wachezaji kote duniani ‘world-class players' karibu katika kila eneo ikiwa ni jitihada za kuweka kikosi katika ubora zaidi.
Kwa muda mrefu United imekuwa ikihitaji damu mpya sehemu ya kiungo, huku wakiendelea kuwa hovyo uwanjani.
Sir Alex Ferguson alikuwa akijua hili wakati akielekea kustaafu ingawa hakuwa tayari kulisema, haijulikani ni biashara ya aina gani United watakwendakufanya mwezi Januari hilo ndilo linalosubiriwa kwa hamu.
New blood: David Moyes has to get his signings right in January to help improve Manchester United's poor form
David Moyes hatakiwi kufanya makosa mwezi Januari kuimarisha kikosi cha Manchester United chenye soka mbovu kwa hivi sasa.
Speculative: Andres Iniesta (right) is unlikely to leave Barcelona despite United's interest
Andres Iniesta (kulia) hataki kuondoka Barcelona licha ya United kuendelea kuonyeshania.

Good enough? Marouane Fellaini has struggled to make an impact since joining United in the summer
Marouane Fellaini amekuwa akijitahidi kuonyesha mabadiliko ndani ya kikosi tangu ajiunge kiangazi lakini wapi.

Nani kuingia nani kutoka januari United?
Wakati wa kiangazi iliyopita United ilishindwa katika jaribio lake la kumtaka kwa mara nyingine Cristiano Ronaldo kurejea Old Trafford kabla ya Mreno huyo kuongeza mkataba ndani ya Real Madrid, na huo ungekuwa ni usajili wa kichwa cha habari kikubwa ambao wangependa kuufanya.

Garreth Bale alikuwa ni mmoja wa wachezaji walioshindwa kujiunga na kikosi cha David Moyes ambaye bado mpaka sasa anataka kwa udi na uvumba saini ya kiungo Andres Iniesta na wenzake wawili kutoka Barcelona Cesc Fabregas na Alex Song, pamoja na Luka Modric wa Real Madrid.

Moyes pia anaonekana kuvutiwa na mshambuliaji wa Borussia Dortmund Marco Reus huku swali likiwa bado juu ya mustakabali wa Robie van Persie kusalia Old Trafford kama ilivyo kwa Wayne Rooney na Javier Hernandez kutokana na kuibuka kwa mara kwa mara sababu za matishio ya kutaka kuondoka.
Herrera anaendelea kusalia katika rada ya United tangu alipopoteza kiwango chake ndani ya Bilbao huku pia United wakiendelea kumfukuzia mshambuliaji wa Roma aliyethaminishwa kwa pauni milioni £30 pamoja na Ilkay Gundogan wa Dotmund.

Mawindo ya meneja wa zamani wa United Sir Alex Ferguson ya kiungo Wesley Sneijder, ni changuo lingine lakini ugumu unakuja kutokana na umri wa nyota huyo wa Galatasaray ambaye kwasasa ana umri wa miaka 29.
Wanted: Borussia Dortmund's Marco Reus (left) could be a January target for United
Nyota wa Borussia Dortmund Marco Reus (kushoto) huenda akajiunga na United Januari.
Catalan: Cesc Fabregas has been linked to a move back to England in the past
Dutch courage: Wesley Sneijder would add some attacking flair to United's midfield

Viungo Wesley Sneijder (kushoto) na Cesc Fabregas mawindoni United

Nyota wa Montpellier Remy Cabella huenda akatua United Januari pamoja na kiungo mwingine wa Everton Ribeiro Cruzeiro, Koke (Atletico Madrid) na Yohan Cabaye (Newcastle) pamoja na William Carvalho (Sporting Lisbon) licha ya kwamba orodha imekuwa ikiongezeaka kila wakati.

Mlinzi wa kushoto Patrice Evra anakaribia kufikia umri wa 33rd na kuna wasiwasi juu ya Alex Buttner na Fabio kuchukua nafasi yake moja kwa moja.
Wasaka wachezajin wa United wanahaha kupata huduma ya Alex Sandro wa Porto na mlinzi wa St Etienne Faouzi Ghoulam.
Kuna hali ya wasiwasi katika eneo la ulinzi wa kati ambapo Rio Ferdinand na Nemanja Vidic wanaelekea ukingoni wa kucheza soka la ushindani wakisaidiwa zaidi na vijana Jonny Evans na Chris Smalling au Phil Jones katika partnership ya kikosi cha kwanza.

Cristian Zapata wa AC Milan yuko katika orodha ndefu ya wanao waniwa na United.
Failed: United made a bid for Ander Herrera in the summer but it was rejected by Athletic Bilbao
Ander Herrera windo lingine la United kutoka Athletic Bilbao

Nani wa kuondoka?
Kama United inataka kuziba mapengo huenda Anderson akawa wa kwanza kuonyeshwa mlango wa kutokea. Ashley Young pia anaonekana kuisha huku meneja Moyes akionekana kuvutiwa na Adnan Januzaj na Wilfried Zaha.

Wanting out? Robin van Persie is rumoured to be unhappy at United
Wanting out? Robin van Persie inaelezwa kuwa si mwenye furaha United

Best ever January buy?
Cantona aliwasili Novemba ambapo pia mwaka 2006 alisajiliwa Nemanja Vidic na Patrice Evra in the 2006 pamoja na Andy Cole  1995.

January signing to forget?
Wengine ambao wameshasahaulika ni pamoja na Diego Forlan kwa  £6.9 mwaka 2002, Manucho mwaka 2008 na Ritchie De Laet mwka 2009 On his way: Wilfried Zaha is wanted by a number of Premier League clubs on loan
Wilfried Zaha anatakiwa na vilabu vingi vya Premier League kwamkopo.

No comments:

Post a Comment