KWA MAWASILIANO ZAIDI TUMIA BARUA PEPE rockersports212@yahoo.com AU TUPIGIE KUPITIA NAMBARI 0767166607 AU 0717166607. KARIBU SANA. 66666666607 AU 0717166607

Friday, December 27, 2013

TAMASHA LA "BADILISHA CONCERT" NA JOSE CHAMELEON LAPAGAWISHA WAKAZI WA JIJINI LA MWANZA USIKU WA CHRISTIMAS

Dr. Jose Chamilione akijimwaga katikati ya mashabiki wake usiku wa kuamkia Christmass na ukiwa ni usiku wa Badilisha Concert
Hapo niajeeeeeeeeez!!!
Dr. Jose Chamilione akiimba moja ya wimbo wake jukwaani
Msanii kutoka nchini Uganda Jose Chameleone akiubadilisha mji wa Mwanza usiku wa mkesha wa Xmass, na hapa akikamua wimbo wake wa Badilisha!!
Mashabiki walioingia kwa wingi wakiimba pamoja na Msanii kutoka nchini Uganda Jose Chameleone







Mnataka wimbo gani nidondoshe!!!
Jose Chameleone Badilisha Live Concert CCM Kirumba Mwanza Dogo D alibadilisha na yeye usiku wa badilisha Concert
Dogo D akitumbuiza wakazi wa Mwanza
BK SANDE akifunguka mbele ya Nyomi iliyojitokeza kwenye usiku wa Badilisha Concert


Hakika Bob Haisa alifunguka kwa sana na kuonesha kipaji chake kwa wakazi wa Jiji la Mwanza kwa aina yake
Bob Haisa akiimba kwa hisia nyimbo ya Nisamehe"
Bob Haisa kweli ni jembe!!
Nyomi kwa sanaaa!!
ilibidi hata shati litoke maana ilikwa ni tamasha la aina yake likiitwa "Badilisha Concert"
Mwanamuziki Lina nae ulifika muda akatumbuiza
Msanii Lina akiimba mbele ya mashabiki kwenye usiku wa Badilisha Concert
Kila mtu alikunwa kivyake!!!
Lina akiendelea kutumbiza
Ilikuwa balaa CCM Kirumba

No comments:

Post a Comment