KWA MAWASILIANO ZAIDI TUMIA BARUA PEPE rockersports212@yahoo.com AU TUPIGIE KUPITIA NAMBARI 0767166607 AU 0717166607. KARIBU SANA. 66666666607 AU 0717166607

Wednesday, January 8, 2014

Aibu kubwa imeendelea kujitokeza kwa wanamichezo duniani, Mshoga wanaongezeka, Kiungo wa Aston villa, West Ham na timu ya taifa ya Ujerumani. Aibu

 Hitzlsperger anasema kuwa alikubaliana na hali ya ushoga miaka michache iliyopita.
Kiungo wa zamani wa vilabu vya Aston Villa, West Ham na Ujerumani Thomas Hitzlsperger ametangaza hadharani kuwa yeye ni shoga ikiwa ni katika mpango wa kupambana na kuendelea kwa ushoga katika michezo.
Kiungo huyo mwenye umri wa miaka 31 ambaye aliachana na fani yake ya kucheza soka tangu mwezi Septemba kutokana na kuandamwa na majeraha, ameliambia gazeti moja la nchini kijerumani la Die Zeit kuwa kwasasa ni wakati mzuri kwake kudhihirisha waziwazi kuwa kweli yeye ni shoga.
'Najitokeza kuweka wazi kuwa juu ya ushoga wangu kwasababu nataka mjadala juu ya hili miongoni kwa wamamichezo uendelee' amesema Hitzlsperger .
Coming out: Thomas Hitzlsperger has become the first player to have played in the Premier League to reveal he is gay
Thomas Hitzlsperger amekuwa mchezaji soka wa kwanza wa kujitangaza kuwa shoga.
Glory days: Hitzlsperger, pictured here in action for Aston Villa in November 2004, also enjoyed spells at West Ham and Everton
Hitzlsperger akionekana pichani katika jezi ya Aston Villa Novemba 2004, pia alivitumikia vilabu vya West Ham and Everton
Der Hammer: Hitzlsperger, pictured here scoring for West Ham against Burnley in February 2011, was well known for his powerful shot during his playing days
Hitzlsperger pichani akifunga goli dhidi ya Burnley mwezi February 2011 alifahamika zaidi kwa nguvu ya kupiga mipira wakati wakicheza soka
Not alone: Hitzlsperger joins Robbie Rogers and Anton Hysen in the list of openly gay professional footballers
Hitzlsperger anaunga ana Robbie Rogers na Anton Hysen katika orodha mashoga waliojiweka wazi hadharani
Younger days: Hitzlsperger kisses his then partner Inga Totzauer in March 2002 during his time as an Aston Villa player
Akiwa bado kijana mdogo: Hitzlsperger akimbusu mpenzi wake wa wakati huo Inga Totzauer March 2002 wakati huo akiwa kiungo wa Aston Villa




Orodha ya mashoga wanamichezo

Tom Daley (Olympic diver)
Anton Hysen (Swedish footballer)
Jason Collins (US basketballer)
Nicola Adams (British boxer)
Orlando Cruz (Puerto Rica boxer)
Robbie Rogers (US footballer)

Kiungo huyo amesema amesema kuwa alijikubali na kujitambua kuwa yeye ni shoga kamili miaka michache iliyopita na kujiona kuwa anaweza kuishi na mwanaume mwenzake kitu ambacho kilikuwa kigumu katika vyumba vya kubadilishia nguo.
Hata hivyo amesema kuwa hakuwa hakujionea aibu ingawa amekiri kuwa haikuwa rahisi kuishi huku nyuma yako kukiwa na maoni mengi yanayo kukashifu nyuma yako.

Winga wa zamani wa Leeds na Marekani Robbie Rogers mwaka jana alijitangaza kuwa yeye ni shoga.

Mshambuliaji wa Arsenal Lukas Podolski amekipingeza kitendo cha kiungo huyo kujitangaza ambapo ametumia ukurasa wake wa Twitter kuandika ujumbe na kutupia picha ya Hitzlsperger ikiwa na ujumbe 
'Brave and right decision. Respect, Thomas Hitzlsperger. His outing is a important sign in our time.'

No laughing matter: Hitzlsperger believes homosexuality is not taken seriously in football dressing rooms in England
Hitzlsperger anaamini kuwa 'homosexuality' haichukuliwi 'seriously' katika soka nchini England
Looking on: Hitzlsperger's then girlfriend, Inga (right), watches Germany in action against Ecuador at the 2006 World Cup
Mpenzi wa zamani wa Hitzlsperger wakati huo, Inga (kulia), akiangalia mechi ya soka baina ya UJrumani dhidi ya Ecuador kombe la dunia mwaka 2006


Proud: Hitzlsperger, pictured here playing pool during the 2006 World Cup in Germany, insists he has never been ashamed of his sexuality

Nyota wa zamani wa kikosi cha wachezaji wenye umri chini ya miaka 21 wa England Justin Fashanu alikuwa ni mchezaji wa kwanza wa kulipwa wa Uingereza kujitangaza mwaka 1990 kabla ya kuanza maisha yake binafsi miaka minane baadaye akiwa na umri wa miaka 37.
Nyota wa Tennis Martina Navratilova akijitangaza kuwa shoga mwaka 1981 ilhali John Amaechi akiwa ni mchezaji wa kwanza wa NBA kujitangaza mwaka 2007.
Nahodha zamani wa timu ya Rugby ya Wales Gareth Thomas, naye alifanya hivyo kama ilivyokuwa kwa Surrey 'wicketkeeper' Steven Davies, kujipambanua hadharani miaka mitano iliyopita.
Leading the way: Former Leeds winger Robbie Rogers is the first openly gay player to ply his trade in Major League Soccer in the USA
Robbie Rogers
Trailblazer: Former England Under-21 international Justin Fashanu was the first professional footballer in Britain to come out in 1990, before taking his own life eight years later
Justin Fashanu 

Mwezi uliopita Tom Daley akijitangaza kuwa yuko katika mahusiano na na mwanaume mwenzake huku washindi wengine wawili wa medali za dhahabu katika mchezo wa kuogelea nao wakijitangaza.
Muogeleaji Matthew Mitcham wa Austarlia ajinadi rasmi mwaka 2008 kabla ya bingwa wa Olympik ya Beijing na mara nne katika Olimpic Greg Louganis kujipambanua alikuwa shoga baada ya kustaafu soka mwaka 1995.

No comments:

Post a Comment