KWA MAWASILIANO ZAIDI TUMIA BARUA PEPE rockersports212@yahoo.com AU TUPIGIE KUPITIA NAMBARI 0767166607 AU 0717166607. KARIBU SANA. 66666666607 AU 0717166607

Tuesday, June 10, 2014

Kuelekea kombe la dunia,Balotelli amchumbia Fanny Neguesha

Mario Balotelli na Fanny Neguesha
Mshambuliaji wa kimataifa wa Mario Balotelli amepata pumziko la muda kuelekea kwenye fainali za kombe la dunia nchini Brazil wakati huu Italia kama ilivyo kwa timu nyingine zitakazo shiriki kombe la dunia zikiwa katika maandalizi kwa kumvisha pete ya uchumba rafiki yake wa kike Fanny Neguesha kabla ya mmchezo wa ufunguzi dhidi ya England mjini Manaus.

Mshambuliaji mwenye matata wa AC Milan alitupia picha za matukio tofauti ya hilo kupitia ukurasa wake wa Instagram kuthibtisha kuwa mpenzi wake huyo amekubali jioni ya jumatatu, akiweka picha ya kidole cha mchumba wake  kikiwa na pete ya thamani inayong'ara.

Balotelli alisindikiza picha hiyo na ujumbe ufuatao

'She said yes.. The most important yes in my life. That was the place of my question! I Love you and happy birthday too! Je t'aime my WIFE'


Confirmation: Balotelli posted these images of Fanny wearing a ring and the place he popped the question to Instagram
Uthibitisho: Balotelli akitupia picha Fanny akiwa na pete katika ukurasa wake wa Instagram
Fanny watches Balotelli in action for Italy at the Confederations Cup in Brazil last year
Fanny takes a stroll in Milan

Fanny, ambaye amekuwa msaada mkubwa kwa Balotelli katika michuano ya kombe la mabara mwaka jana, akionekana akikatatisha mitaa ya jiji la Milan




The former Manchester City man also included a photo of the setting for his proposal, which is believed to be near Mangaratiba, Italy's base for the World Cup.
Balotelli's proposal topped off a special night for Fanny, who was celebrating her birthday with her family.
She took to Instagram to post the same image as her soon-to-be huband, along with the message: 'Tonight, I said the most important yes of my life. That was the best present for my birthday! I love you first and unique husband'.
The pair had previously endured some relationship troubles - Fanny announced she was single via social media at one point - but they now appear to be back on track.
Speaking about Fanny, Balotelli once stated that he could 'spend his whole life with someone like this'.
The news comes just a few days ahead of Italy's opening game of the World Cup against England on Saturday.
Balotelli is expected to start up-front on his own for Cesare Prandelli's side, leaving him in direct opposition with his former City team-mate Joe Hart.
Fanny pouts for an Instagram selfie
Fanny has developed a large following on social media in recent months
Looking good: Fanny now has over 70,000 followers on Instagram, where she regularly posts photos of herself
Day job: Italy striker Mario Balotelli, pictured here in action against Fluminense, is preparing to face England on Saturday
Day job: Italy striker Mario Balotelli, pictured here in action against Fluminense, is preparing to face England on Saturday
Just chillin': Balotelli posted this picture of him and Fanny to Twitter earlier this year
Just chillin': Balotelli posted this picture of him and Fanny to Twitter earlier this year

No comments:

Post a Comment