KWA MAWASILIANO ZAIDI TUMIA BARUA PEPE rockersports212@yahoo.com AU TUPIGIE KUPITIA NAMBARI 0767166607 AU 0717166607. KARIBU SANA. 66666666607 AU 0717166607

Tuesday, June 10, 2014

Usajili Chelsea: Mourinho atumia Euro milioni 33 kumsajili Cesc Fabregas

Jose Mourinho ana matumaini makubwa kuwa tayari ameshafanikisha mpango wa kumsajili Cesc Fabregas kutoka Barcelona kwa ajili nya kuziba pengo la Frank Lampard ndani ya kikosi cha Chelsea na anamatumaini ya kukamilisha hilo kabla ya Hispania haijakutana na Uholanzi mchezo wa ufunguzi wa kombe la dunia Ijumaa.


Ameshawishika kuwa Fabregas na mshambuliaji wa Atletico Madrid Diego Costa wote watakuwa katika viunga vya vya Stamford Bridge kiangazi hii wakati ambapo meneja huyo wa Chelsea akipambana kusaka ubingwa msimu ujao.

Chelsea ilimaliza katika nafasi ya tatu katika Premier League msimu uliopita, alama nne nyuma ya bingwa  Manchester City, licha ya Mourinho kurejea na madai yake hawakuwa wapinzani wa kweli kusaka ubingwa.
Market movers: Mourinho also believes a deal for Atletico striker Diego Costa will be done by next week
 Diego Costa anyakuliwa na Mourinho

Ilikuwa ikidhaniwa kuwa kukamilika kwa usajili wa Fabregas na Costa, kwa pauni milioni £28 na £32 itawasaidia kushinda taji kwa mara ya kwanza yangu msimu wa mwaka 2009-10.

Licha ya Arsenal kuwa katika mpango wa kumsajili Fabregas, Arsene Wenger alijitoa katika mbio hizo za kumsajili kiungo huyo wa Barcelona na kuifanya njia kuwa nyeupe kwa Chelsea.
Kiungo huyo mwenye umri wa miaka 27, ambaye amekulia kama mchezaji wa nyumbani ndani ya Premier League baada ya kutumikia miaka nane katika klabu ya Arsenal, ameonyesha nia kurejea England baada ya miaka mitatu ndani ya Hispania baada ya kuambiwa kuwa anaweza kuyondoka Nou Camp.
 
Confident: Mourinho believes both Fabregas and Costa are both Chelsea-bound this summer
Mourinho anaamini Fabregas na Costa wote ni mali ya Chelsea

Nyota wa Hispania na Barcelona Gerard Pique amethibitisha kuwa Fabregas anaelekea Chelsea alipokuwa akiongea na bosi wa Hispania Vicente del Bosque wiki iliyopita.

THE VIEW FROM CHELSEA

'Despite excitement surrounding Fabregas’ move, one Chelsea season-ticket holder of 40 years has described the signing as ‘the equivalent of hiring Rafa Benitez as manager’.'

Mlinzi huyo alimwambia Del Bosque: ‘ameniambia kila kitu kimekamilika. Ameelekea huko kwa euro milioni €33 amenieleza.’
Rafiki wa kike wa Fabregas, Daniella Semaan ametupia ujumbe kupitia Instagram ukiwa na picha yake mshambuliaji wa Barcelona Lionel Messi na Antonella Roccuzzo, akisema'
I miss this girl so so so so much' kabla ya kutumia hashtag #tevoyaextranar, inayosomeka 'I'll miss you'.

Indication: Semann (right) posted this picture with Messi's partner (left), saying: 'I'll miss you'
Indication: Semann (right) posted this picture with Messi's partner (left), saying: 'I'll miss you'

No comments:

Post a Comment