KWA MAWASILIANO ZAIDI TUMIA BARUA PEPE rockersports212@yahoo.com AU TUPIGIE KUPITIA NAMBARI 0767166607 AU 0717166607. KARIBU SANA. 66666666607 AU 0717166607

Thursday, July 5, 2012

MAPINDUZI KATIKA SOKA YAJA


Huenda “Goal-line technology” kupata ridhaa hii leo
Mpango wa matumizi ya Goal-line technology sasa unaelekea kupitishwa kwake pale ambapo bodi ya soka ya kimataifa  (IFAB) itakapo fanya maamuzi usiku huu .
Matokeo ya majaribio yatasikilizwa kabla ya IFAB kupata uhakiki wa mifumo miwili ya Hawk-Eye na GoalRef.

Mfumo wa Hawk-Eye unafanyaje kazi ?
Mfumo wa Hawk-Eye unafanya kazi kwa kutumia jumla ya kamera sita kwa goli moja ambazo zitakuwa zote zinafuatilia mpira mmoja uwanjani.
The system's software itatumia "triangulation" ili kubaini eneo ambalo mpira huo ulipo.
endapo mpira utavuka mstari hapo ndipo saini ya sauti itatuma kiashirio katika saa ya mwamuzi kuwa goli limefungwa.
kwa mujibu wa mahitaji ya fifa ni kwamba mchakato mzima unapaswa kuchukua si zaidi ya sekunde moja kukamilika.
 
Mfumo wa GoalRef unafanyaje kazi ?
Mfumo huu wa GoalRef unatumia microchip ambayo inawekwa ndani ya mpira na kutumia waves za sumaku kidogo mpira unapokuwa katika eneo la goli .
mfumo huu unatabiri na kubadili magnetic field katika eneo la goli au nyuma ya mstari wa goli na kubashiri mpira kuvuka mstari.
mchakato huo mzima unapaswa kuchukua chini ta sekunde moja na ujumbe kumfikia mwamuzi.
mahitaji ya matumizi ya goal-line technology yaliongezeaka mara dufu baada ya Ukraine kukataliwa goli la kusawazisha dhidi ya England katika Euro 20

No comments:

Post a Comment