KWA MAWASILIANO ZAIDI TUMIA BARUA PEPE rockersports212@yahoo.com AU TUPIGIE KUPITIA NAMBARI 0767166607 AU 0717166607. KARIBU SANA. 66666666607 AU 0717166607

Thursday, July 5, 2012

Draw mzunguko wa tatu Afcon hii leo


Fainali za soka za mtaifa ya Afrika mwakani zinatarajiwa kuwa ni fainali za kwanza kufanyika katika mwaka usio gawanyika kwa mbili tangu kuasisiwa na Ethiopia katika mwaka unaogawanyika kwa mbili mwaka 1968.
Mashindano hayo yalihamishiwa katika miaka isiyo gawanyika kwa mbili kuanzia mwaka 2013 kuepusha mgongano wa michuano hiyo kufanyika mwaka mmoja na miaka ambayo fainali za kombe la dunia imekuwa ikifanyika.
Shirikisho la soka barani Afrika inatarajia kufanya draw ya michezo ya mzunguko wa mwisho kwa ajili ya kufuzu Afcon draw ambayo inafanyika leo nchini Afrika kusini.
Wawakilishi toka mataifa yote yatawakilishwa katika draw  katika mgahawa mmoja karibu na uwanja wa ndege wa jiji la Johannesburg  OR Tambo international airport.
Mbali na kufanya shughuli hiyo kutakuwa pia draw nyingine tofauti na hiyo kuamu ni nani atakuwa na faida ya kupata mchezo wa kwanza wa kuanzia nyumbani na mzunguko wa kwanza michezo yake ikipangwa kufanyika kati ya September 7-9 na mingine October 12-14 mwaka huu.
The seeded teams are Algeria, Angola, Burkina Faso, Cameroun, Cote d’Ivoire, Gabon, Ghana, Guinea, Guinea Equatorial, Mali, Morocco, Nigeria, Sudan, Tunisia and Zambia.
The teams not seeded are Botswana, Cape Vert, Central Africa, Ethiopia, Liberia, Libya, Malawi, Mozambique, Niger, DR Congo, Senegal, Sierra Leone, Togo, Uganda and Zimbabwe.
Mshindi wa mzunguko huu wa tatu atakuwa amefuzu kucheza Afcon mwakani nchini Afrika kusini kuanzia January 19.

No comments:

Post a Comment