KWA MAWASILIANO ZAIDI TUMIA BARUA PEPE rockersports212@yahoo.com AU TUPIGIE KUPITIA NAMBARI 0767166607 AU 0717166607. KARIBU SANA. 66666666607 AU 0717166607

Tuesday, July 2, 2013

Chelsea make move for midfielder Marco van Ginkel


  Chelsea make move for midfielder Marco van Ginkel
Chelsea imekuwa na mazungumzo na kiungo wa Vitesse Arnhem Marco van Ginkel juu ya kumpeleka Stamford Bridge.
Kiungo huyo mwenye umri wa miaka 20 amekutana na baosi wa Blues Jose Mourinho na anatarajiwa kurejea udachi alahmaisi ambapo mazungumzo yatafanyika.
Marco van Ginkel alijiunga na Vitesse Arnhem alipokuwa na umri miaka saba na kuendelelezwa kakatika kituo cha kulelea vipaji. Alianza kucheza ndani yaklabu hiyo mwezi April 2010  na kuanza kulitumika taifa mwezi novemba mwaka jana.
Van Ginkel's main concern is over how much first-team football he would get.
Thamani yake ni pauni £8m.

Steve McClaren joins Queens Park Rangers in coaching role
Meneja waq zamani wa England Steve McClaren amejiunga na  Queens Park Rangers kama kocha chini ya bosi Harry Redknapp.
McClaren mwenyer umri wa miaka 52 amekuwa nje ya kazi tangu aliondoka katika klabu ya FC Twente ya udachi ya uholanzi mwezi  February.
QPR ilishuka daraja mwezi May na Redknapp ameondosha uvumi kuwa alikuwa akitakiwa kuondoka ndani ya klabu hiyo kwasasa Redknapp anataka kunoa safu yake ya makocha kwa kumuongeza McClaren ambapo atakuwa na mzoefu mwingine Kevin Bond pamoja na Joe Jordan.

Kolo Toure: Liverpool sign Manchester City defender
Liverpool imekamilisha usajili wa mlinzi wa Manchester City Kolo Toure.
Mlinzi huyo mwenye umri miaka 32 wa Ivory Coast anajiunga na Anfield kwa miaka miwili baada ya mkataba wake na Etihad kumalizika.
Toure ameitumikia City kwa michezo 102 baada ya kujiunga nayo akitokea Arsenal kwa uhamisho uliogharimu pauni milioni 14m July 2009 na alikuwa ni sehemu ya timu ya City iliyotwaa taji la Premier League in 2011-12.
Christopher Samba: QPR agree £12m fee with Anzhi for defender
QPR imekubali ada iliyohitajika ya pauni milioni £12 kwa ajili ya kumuuza mlinzi wake Christopher Samba kurejea Anzhi Makhachkala.
Klabu hiyo London ya kaskazini ilimchukua mchezaji huyo wa zamani wa Blackburn kutoka nchini Urusi mwezi January kwa ada ya pauni milioni  £12.5.

Samba ameichezea klabu yake michezo 10 msimu uliopita na kuisaidia Rangers kuepuka kushuka daraja kutoka ligi kuu ya England.
Bosi wa QPR Harry Redknapp ametanabaisha kuwa klabu yake imekataa "massive offer" kwa ajili ya samba kabla ya dirisha la usajili la Russian kufungwa mwezi February.

Paulinho: Tottenham's Brazilian target will leave Corinthians
Kiungo wa Brazil José Paulo Bezerra Maciel Júnior, Paulinho anatarajiwa kujiunga na Tottenham kwa ada ya uhamisho ya pauni milioni £17 ambapo mchezaji huyo mwenyewe amesema anataka kuondoka katika klabu yake ya Corinthians.
Mwezi uliopita Paulinho alisema Spurs amekuwa ikimtaka na angeamua hatma yake baada ya miochuano ya Confederations Cup kumalizika.
Full name: Jose Paulo Bezerra Maciel Junior
Born: 25 July 1988
Club: Corinthians
Brazil caps: 17
Brazil goals: 5
 Kiungo huyo mwenye umri wa miaka 24 ameifunga jumla ya mabao 34 katika jumla ya michezo 167 aliyoicheza na alikuwa ni miongoni mwa wachezaji aliokuwepo katika mchezo wa ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Hispania hivi karibun.
Real Madrid pia imeonyesha nia lakini anatarajiwa kujiunga na White Hart Lane.

No comments:

Post a Comment