KWA MAWASILIANO ZAIDI TUMIA BARUA PEPE rockersports212@yahoo.com AU TUPIGIE KUPITIA NAMBARI 0767166607 AU 0717166607. KARIBU SANA. 66666666607 AU 0717166607

Saturday, March 15, 2014

City yaikamua Hull licha ya mlinzi wake Kompany kutolewa mapema dakika ya 10

Manchester City iliyobaki pungufu baada ya dakika kumi za kuanza mchezo dhidi ya Hull City baada ya mlinzi wake mahiri Vincent Kompany kutolewa nje kwa kadi nyekundu imefanikiwa kupata ushindi wa mabao 2-0 huku ikiendeleza presha kubwa kwa vinara wa ligi kuu nchini England Chelsea katika kilele cha msimamo wa ligi hiyo Barclays Premier League.
David Silva alianza kuandika bao la kwanza baada ya mpira wa -superb long-range - dakika nne baada ya Kompany kuonyeshwa kadi ya nyukundu ya moja kwa moja na mwamuzi Lee Mason kwa kumfanyia kitu mbaya Nikica Jelavic ambaye alikuwa akielekea langoni mwao.
Bao la pili la City limewekwa kimiani na Edin Dzeko dakika ya mwisho ya mchezo.

No comments:

Post a Comment