Mrembo huyu ni Geneveve Emmanuel Mpangala mrembo wa Tanzania ambaye ataiwakilisha Tanzania katika shindano kubwa la kumsaka mrembo wa dunia wa 60 shindano ambalo limepangwa kufanyika kule Sanya nchini India jumamosi ya tarehe 30.Blog hii inamtakika safari njema na maandalizi mema ya mwisho mwisho na mungu akipenda arejee na taji la dunia safari njema,hapo alikuwa akikabidhiwa bendera.Wednesday, September 29, 2010
TANZANIA NA WATANZANIA KWA UJUMLA HAWANA MATATIZO NA UWAKILISHI WAKO KATIKA SHINDANO LA KUMSAKA MREMBO WA DUNIA HUKO SANYA ONGEZA KUJIAMINI NA UWE NA MUNGU WAKATI WOTE MUNGU IBARIKI TANZANIA
Mrembo huyu ni Geneveve Emmanuel Mpangala mrembo wa Tanzania ambaye ataiwakilisha Tanzania katika shindano kubwa la kumsaka mrembo wa dunia wa 60 shindano ambalo limepangwa kufanyika kule Sanya nchini India jumamosi ya tarehe 30.Blog hii inamtakika safari njema na maandalizi mema ya mwisho mwisho na mungu akipenda arejee na taji la dunia safari njema,hapo alikuwa akikabidhiwa bendera.
Mrembo huyu ni Geneveve Emmanuel Mpangala mrembo wa Tanzania ambaye ataiwakilisha Tanzania katika shindano kubwa la kumsaka mrembo wa dunia wa 60 shindano ambalo limepangwa kufanyika kule Sanya nchini India jumamosi ya tarehe 30.Blog hii inamtakika safari njema na maandalizi mema ya mwisho mwisho na mungu akipenda arejee na taji la dunia safari njema,hapo alikuwa akikabidhiwa bendera.Tuesday, September 28, 2010
Monday, September 27, 2010
GERARD HOULLIER AMTAKA EMILE HESKEY KUJIAMINI
Gerard Houllier ameonyesha matumaini makubwa kwa mshambuliaji wake aliipa ushindi timu yake dhidi ya Wolves Emile Heskey na kumtaka kuongeza kujiamini mwenyewe.
Emile Heskey ameanza kuonyesha uwezo baada ya kufanikiwa kuweka nyavuni jumla ya mbao matatu katika michezo minne iliyopita.
Heskey akitokea benchi katika mchezo wa michuano ya Carling katikati ya wiki alifanikiwa kubadilisha sura ya mchezo dhidi ya Blackburn.
Na katika mchezo wa ligi dhidi ya Wolves ukiwa nimchezo wake wa kwanza wa premier League alifanikiwa kuweka nyavuni bao la ushindi mchezo uliopigwa jumapili na kuipa timu yake ushindi wa mabao 2-1.
Gerard Houllier ameonyesha matumaini makubwa kwa mshambuliaji wake aliipa ushindi timu yake dhidi ya Wolves Emile Heskey na kumtaka kuongeza kujiamini mwenyewe.Emile Heskey ameanza kuonyesha uwezo baada ya kufanikiwa kuweka nyavuni jumla ya mbao matatu katika michezo minne iliyopita.
Heskey akitokea benchi katika mchezo wa michuano ya Carling katikati ya wiki alifanikiwa kubadilisha sura ya mchezo dhidi ya Blackburn.
Na katika mchezo wa ligi dhidi ya Wolves ukiwa nimchezo wake wa kwanza wa premier League alifanikiwa kuweka nyavuni bao la ushindi mchezo uliopigwa jumapili na kuipa timu yake ushindi wa mabao 2-1.
GIGGS SASA KUUKOSA MCHEZO DHIDI YA VALENCIA LIGI YA MABINGWA
Sir Alex Ferguson amethibitisha kuwa mkongwe Ryan Giggs atakuwa nje ya dimba kwa eiki kadhaa kufuatia matatizo ya hamstring yaliyotokana na mchezo wa sare ya bao 2-2 dhidi ya Bolton Wanderers.
Giggs alilazimika kupumzishwa katika kipindi cha pili katika dimba la Reebok Stadium na sasa kutokuwepo katika mchezo wa ligi ya mabingwa ulaya dhidi ya Valencia mchezo ambao unatarajiwa kupigwa jumatano pamoja na mchezo mwingine wa ligi kuu ya uingereza mwishoni mwa juma lijalo dhidi ya Sunderland.
Sambamba na hilo mshambuliaji Wayne Rooney licha ya kutolewa katika dakika ya 61ya mchezo katika mchezo huo dhidi Bolton yeye hana mashaka makubwa na kwamba atakuwepo katika utakaopigwa katika dimba la Mestalla kwani anahitaji kuwekewa barafu kidogo ili kuondoa maumivu aliyoyapata.
Manchester United imefanikiwa kuepuka balaa la kupoteza mchezo na kujiunga na vigogo vingine vya LIgi kuu ya Uingereza vya Chelsea na Arsenal kufuatia bao la mshambuliaji Michael Owen na kuipa United sare ya mabao 2-2 dhidi ya Bolton.
United ilikuwa katika nafasi nzuri ya kujisogeza pazuri katika msimamo wa ligi baada ya vinara wa ligi hiyo kudondokea pua katika mchezo wa jana lakini hata hivyo kujikuta mara mbili wakilazimika kusawazisha mabao ya Bolton.
Zat Knight aliaanza kuipa uongozi wa mchezo Bolton baada ya dakika sita mchezo kuanza baada ya bao la wonderful flick kutoka katika katika eneo la kona kabla ya Nani kufanikiwa kusawazisha katika dakika ya 23 .
Baada ya Ryan Giggs na Wayne Rooney kuondolewa dimbani kutokana na kile kilichoelezwa ya kuwa ni kutokana na kuwa fiti hatimaye Martin Petrov shuti lake lilimbaba tiza Darren Fletcher na kumpita mlinda mlango Edwin van der Sara.
Hata hivyo mshambuliaji Michael Owen akitokea alifanikiwa kusawazisha bao hilo ambalo kwake lilikuwa ni bao lake la 200 tangu kuwa katika career ya soka.
Mchezo mwingine ulikuwa ni ile inayoitwa Sunday's Midlands derby, Emile Heskey ameendelea kuonyesha makali yake akiwa na meneja wake wa zamani wakiti wakiwa pamoja Liverpool namzungumzia Gerard Houllier kufuatia kufunga bao la dakika ya majeruhi dhidi ya Wolves katika mchezo Aston Villa imeibuka na ushindi wa mabao 2-1 katika dimba la Molineux.
Stewart Downing aliipa uongozi Villa katika kipindi cha kwanza baada ya kupokea mpira wa cross toka kwa Marc Albrighton kabla ya Matt Jarvis kukutana na cross ndani ya box na kuusu,kuusukumiza mpira wavuni kunako dakika ya 61 ya mchezo 61 minutes.
Katika mchezo mwingine bao la James Perch limepelekea msiba wa pili kwa Newcastle toka kwa Stoke wakitokea nyuma kimatokeo na kufanikiwa kupata ushindi wa mabao 2-1 mchezo uliopigwa katika dimba la St James' Park.
Sir Alex Ferguson amethibitisha kuwa mkongwe Ryan Giggs atakuwa nje ya dimba kwa eiki kadhaa kufuatia matatizo ya hamstring yaliyotokana na mchezo wa sare ya bao 2-2 dhidi ya Bolton Wanderers.Giggs alilazimika kupumzishwa katika kipindi cha pili katika dimba la Reebok Stadium na sasa kutokuwepo katika mchezo wa ligi ya mabingwa ulaya dhidi ya Valencia mchezo ambao unatarajiwa kupigwa jumatano pamoja na mchezo mwingine wa ligi kuu ya uingereza mwishoni mwa juma lijalo dhidi ya Sunderland.
Sambamba na hilo mshambuliaji Wayne Rooney licha ya kutolewa katika dakika ya 61ya mchezo katika mchezo huo dhidi Bolton yeye hana mashaka makubwa na kwamba atakuwepo katika utakaopigwa katika dimba la Mestalla kwani anahitaji kuwekewa barafu kidogo ili kuondoa maumivu aliyoyapata.
OWEN AIOKOA MANCHESTER UNITED DHIDI YA BOLTON
Manchester United imefanikiwa kuepuka balaa la kupoteza mchezo na kujiunga na vigogo vingine vya LIgi kuu ya Uingereza vya Chelsea na Arsenal kufuatia bao la mshambuliaji Michael Owen na kuipa United sare ya mabao 2-2 dhidi ya Bolton.United ilikuwa katika nafasi nzuri ya kujisogeza pazuri katika msimamo wa ligi baada ya vinara wa ligi hiyo kudondokea pua katika mchezo wa jana lakini hata hivyo kujikuta mara mbili wakilazimika kusawazisha mabao ya Bolton.
Zat Knight aliaanza kuipa uongozi wa mchezo Bolton baada ya dakika sita mchezo kuanza baada ya bao la wonderful flick kutoka katika katika eneo la kona kabla ya Nani kufanikiwa kusawazisha katika dakika ya 23 .
Baada ya Ryan Giggs na Wayne Rooney kuondolewa dimbani kutokana na kile kilichoelezwa ya kuwa ni kutokana na kuwa fiti hatimaye Martin Petrov shuti lake lilimbaba tiza Darren Fletcher na kumpita mlinda mlango Edwin van der Sara.
Hata hivyo mshambuliaji Michael Owen akitokea alifanikiwa kusawazisha bao hilo ambalo kwake lilikuwa ni bao lake la 200 tangu kuwa katika career ya soka.
Mchezo mwingine ulikuwa ni ile inayoitwa Sunday's Midlands derby, Emile Heskey ameendelea kuonyesha makali yake akiwa na meneja wake wa zamani wakiti wakiwa pamoja Liverpool namzungumzia Gerard Houllier kufuatia kufunga bao la dakika ya majeruhi dhidi ya Wolves katika mchezo Aston Villa imeibuka na ushindi wa mabao 2-1 katika dimba la Molineux.
Stewart Downing aliipa uongozi Villa katika kipindi cha kwanza baada ya kupokea mpira wa cross toka kwa Marc Albrighton kabla ya Matt Jarvis kukutana na cross ndani ya box na kuusu,kuusukumiza mpira wavuni kunako dakika ya 61 ya mchezo 61 minutes.
Katika mchezo mwingine bao la James Perch limepelekea msiba wa pili kwa Newcastle toka kwa Stoke wakitokea nyuma kimatokeo na kufanikiwa kupata ushindi wa mabao 2-1 mchezo uliopigwa katika dimba la St James' Park.
Friday, September 24, 2010
HALI HALISI YA MAMBO HUKO DELHI KUELEKEA KATIKA MICHEZO YA MADOLA NI KICHEFUCHEFU
tazama picha za vyoo hapo chini
The full extent of the poor conditions at the Commonwealth Games athletes' village in India has been exposed in photographs seen by BBC Sport.
The pictures, taken in the last two days, show dirty bathrooms, animal footprints on beds, exposed wiring and flooding outside the buildings.
The first England athletes leave for Delhi on Thursday as organisers race to get the Games ready for 3 October.
Wales and Northern Ireland will fly their athletes out as scheduled.
Delhi's organising committee chairman Suresh Kalmadi insists progress has been made in cleaning up the athletes' accommodation and they are ready to receive the 7,000 visitors to the 32 tower blocks.
An Indian contingent of more than 120 athletes is expected to check into the village on Thursday evening, with the first overseas teams expected on Friday.
"I am happy with the progress," he said. "We believe there will be no serious complaints anymore. And we believe that no teams will pull out of the Games."
Scotland, Canada and New Zealand have delayed their departures, although Scottish sports minister Shona Robison has said there is a "growing confidence" that the country's athletes will go.
And Team Scotland's chef de mission Jon Doig has welcomed Thursday's assurances from the Indian government that the accommodation will be fixed and that safety certificates for the village and venues are in place.
"We are heartened that Sheila Dikshit [Delhi government's chief minister] has personally taken control of the situation, ensuring that the necessary additional resources are brought in, including support from the Delhi hoteliers association to address standards of cleanliness and hygiene and oversee quality control," said Doig.
"We have continued to make progress addressing the maintenance and operational issues within our own accommodation block and things are looking much better.
"Therefore subject to a number of assurances from the Organising Committee being realised over the next 24 hours, we feel we will be in a position to confirm [on Friday] that our team will travel as scheduled on Saturday."
The Welsh team is due to start flying out to Delhi on Satuday 25 September while Northern Ireland are planning to send their team on Monday 27 September.
Concerns over stadium safety, security and conditions in the village have hit the build-up to the 3-14 October event and these pictures will give further worries to team organisers and athletes who will arrive in the Indian capital in the next seven days.
Sir Matthew Pinsent, who won four Olympic gold medals in rowing for Great Britain and is going to Delhi as part of the BBC commentary team, questioned the future of the Games.
He told BBC Radio 5 live: "What groups the Commonwealth together anymore? It used to be the Empire Games and as time goes on you get further away from independence.
"If the numbers of athletes are going up and its getting more and more expensive and difficult for host cities, does it carry on, does it have a big future?"
Pinsent also believes the Delhi organising committee have only themselves to blame for the mess they find themselves in.
"I realise they've had issues with the weather, but it looks disastrous from the photos I saw on the BBC Sport website," said Pinsent. "There's only going to be one story we're all covering.
"[They have had] seven years notice, but [they did] nothing for four years and then put the hurry up on.
"[If you] then struggle with the weather and the rain is lashing down and you're trying to lay bricks and set concrete, it's not going to set."
In the last week, two Taiwanese tourists were injured after gunmen on a motorcycle opened fire on a bus in Delhi, a pedestrian footbridge to the centrepiece Jawaharlal Nehru stadium has collapsed, injuring 23 people, and part of a false ceiling at a weightlifting sports venue fell down.
David Bond's Blog
Delhi may yet surprise us. No major event enjoys a smooth build-up with no problem. But this does feel different
Several big-name athletes have already pulled out of the Games, with England's world triple jump champion Phillips Idowu and Australia's discus world champion Dani Samuels withdrawing earlier this week over health and security concerns.
On Thursday, New Zealand became the third major nation to announce they would not be sending athletes as scheduled to Delhi.
The president of the New Zealand Olympic Committee (NZOC), Mike Stanley, said: "It's tremendously disappointing. The long list of outstanding issues has made it clear the village will now not be ready for New Zealand athletes to move in as planned."
India's Foreign Minister SM Krishna has attempted to allay fears over hygiene and safety, while Commonwealth Games Federation president Mike Fennell arrived in Delhi on Thursday for a meeting with Prime Minister Manmohan Singh to discuss the problems.
"Let me assure you on behalf of the government of India and the people of India that we will see to it that the Commonwealth Games are conducted according to international standards, and the athletes who come to participate in these games will feel quite happy about their conditions," Krishna told the BBC.
A dirty sink in a bathroom at the athletes' village
Team England's chef de mission Craig Hunter is optimistic the problems will come together at the last minute "like an Indian wedding".
"We looked in some towers where, even [on Thursday], with countries supposed to be moving in, there's no plaster on the walls, they are deep in water and extremely uninhabitable and quite dangerous in many respects," he stated.
"We are in good shape, but what we are demanding is that all nations are treated equally.
"I've always said this event will be like an Indian wedding and it will be ready just before the bride arrives.
"The amount of rain that can fall in a very short space of time is quite incredible and at times we are waterlogged.
"Now we're really struggling and having jokes about how we're going to surf down from our accommodation to the dining room because there's so much water."
England's world champion teenage diver Tom Daley has confirmed he will be going to the Games unless told otherwise by team officials.
The 16-year-old, who won the 10m platform world title in Rome last year, said: "As long as England are going then I'll be going.
"As long as they are sending a team I am willing to go because I trust them and I really want to compete in the Commonwealth Games. The only thing I can do now is concentrate on my preparation."
Click to play
Click to play
Diver Daley positive about Games
And England hockey player James Tindall told BBC Radio 5 live: "I haven't got any concerns or worries about going to India.
"We've been [to India] for the World Cup earlier in the year. We enjoyed it and were happy with the security.
"The village may be an unknown to us but they've got enough time to the start of the Games."
Delhi has had seven years to prepare for the Games but the majority of work only began in 2008.
Ticket sales have been disappointing, and the cost of hosting the largest sporting event in the country's history has soared, making it the most expensive Commonwealth Games in history, with estimates ranging from $3bn (£1.9bn) to more than $10bn (£6.3bn).
INDIA HAWAKUPASWA KUANDAA MICHEZO YA MADOLA
India hawakupaswa kuandaa michuano ya madola 2010 kwa mujibu wa Rais wa kamati ya Olympic ya Australian AOC John Coates.
Matayarisho ya michezo ambayo itaanza October 3 mpaka October 14 yameendelea kuchelewa na kumbwela.
Kijiji cha wanamichezo kimeelezewa kuwa kimeshindwa kukamilika mapema kiasi kupelekea mataifa kadhaa kuchelewa kuelekea huko matatizo ya marekebisho yatakapo kamilika .
"In hindsight, no, they shouldn't have been awarded the Games."
Coates alikuwa ni mmoja wa wanachama wa maandalizi ya kamati ya maandalizi ya michuano ya Olympic mwaka 2000 Sydney Australia na kisha pia kuwa ndani ya bodi ya kimataifa ya kamati ya utendaji Olympics.
Anasema wakati IOC ambao wanafuatilia maandalizi ya michuano ya Olympic ya jijini London mwaka 2012 ina jumla ya watu 400 wakati ambapo huko Delhi kuna watu watano tu ambao wamekuwa wakifuatilia.
"The CGF is under-resourced," he continued. "It doesn't have the ability to monitor the progress of cities in the way the IOC does."
Coates pia amesema kamati ya Olympic imekuwa katika mikataba katika miji ambayo itaandaa michezo ya mwaka also said that the IOC has contracts in place with London and 2016 Olympic hosts Rio de Janiero to ensure construction deadlines are met and test events are carried out one year before the Games.
"If that had been the case here [in Delhi], then certainly something would have been done a lot sooner because obviously the venues are not ready," he stated.
"Certainly the Commonwealth Games for its future needs to move away from just the old countries - Canada, New Zealand, Australia and Britain taking turns. But the problem is, they [India] weren't ready."
Delhi kunatarajiwa kuwa na jumla ya wanamichezo 7,000 wakiambatana na maafisa wao ambao wanatarajiwa kuwasili kuanzia ijumaa hii.
tazama picha za vyoo hapo chini
The full extent of the poor conditions at the Commonwealth Games athletes' village in India has been exposed in photographs seen by BBC Sport.The pictures, taken in the last two days, show dirty bathrooms, animal footprints on beds, exposed wiring and flooding outside the buildings.
The first England athletes leave for Delhi on Thursday as organisers race to get the Games ready for 3 October.
Wales and Northern Ireland will fly their athletes out as scheduled.
Delhi's organising committee chairman Suresh Kalmadi insists progress has been made in cleaning up the athletes' accommodation and they are ready to receive the 7,000 visitors to the 32 tower blocks.
An Indian contingent of more than 120 athletes is expected to check into the village on Thursday evening, with the first overseas teams expected on Friday.
"I am happy with the progress," he said. "We believe there will be no serious complaints anymore. And we believe that no teams will pull out of the Games."
Scotland, Canada and New Zealand have delayed their departures, although Scottish sports minister Shona Robison has said there is a "growing confidence" that the country's athletes will go.
And Team Scotland's chef de mission Jon Doig has welcomed Thursday's assurances from the Indian government that the accommodation will be fixed and that safety certificates for the village and venues are in place.
"We are heartened that Sheila Dikshit [Delhi government's chief minister] has personally taken control of the situation, ensuring that the necessary additional resources are brought in, including support from the Delhi hoteliers association to address standards of cleanliness and hygiene and oversee quality control," said Doig.
"We have continued to make progress addressing the maintenance and operational issues within our own accommodation block and things are looking much better.
"Therefore subject to a number of assurances from the Organising Committee being realised over the next 24 hours, we feel we will be in a position to confirm [on Friday] that our team will travel as scheduled on Saturday."
The Welsh team is due to start flying out to Delhi on Satuday 25 September while Northern Ireland are planning to send their team on Monday 27 September.
Concerns over stadium safety, security and conditions in the village have hit the build-up to the 3-14 October event and these pictures will give further worries to team organisers and athletes who will arrive in the Indian capital in the next seven days.
Sir Matthew Pinsent, who won four Olympic gold medals in rowing for Great Britain and is going to Delhi as part of the BBC commentary team, questioned the future of the Games.
He told BBC Radio 5 live: "What groups the Commonwealth together anymore? It used to be the Empire Games and as time goes on you get further away from independence.
"If the numbers of athletes are going up and its getting more and more expensive and difficult for host cities, does it carry on, does it have a big future?"
Pinsent also believes the Delhi organising committee have only themselves to blame for the mess they find themselves in.
"I realise they've had issues with the weather, but it looks disastrous from the photos I saw on the BBC Sport website," said Pinsent. "There's only going to be one story we're all covering.
"[They have had] seven years notice, but [they did] nothing for four years and then put the hurry up on.
"[If you] then struggle with the weather and the rain is lashing down and you're trying to lay bricks and set concrete, it's not going to set."
In the last week, two Taiwanese tourists were injured after gunmen on a motorcycle opened fire on a bus in Delhi, a pedestrian footbridge to the centrepiece Jawaharlal Nehru stadium has collapsed, injuring 23 people, and part of a false ceiling at a weightlifting sports venue fell down.
David Bond's Blog
Delhi may yet surprise us. No major event enjoys a smooth build-up with no problem. But this does feel different
Several big-name athletes have already pulled out of the Games, with England's world triple jump champion Phillips Idowu and Australia's discus world champion Dani Samuels withdrawing earlier this week over health and security concerns.
On Thursday, New Zealand became the third major nation to announce they would not be sending athletes as scheduled to Delhi.
The president of the New Zealand Olympic Committee (NZOC), Mike Stanley, said: "It's tremendously disappointing. The long list of outstanding issues has made it clear the village will now not be ready for New Zealand athletes to move in as planned."
India's Foreign Minister SM Krishna has attempted to allay fears over hygiene and safety, while Commonwealth Games Federation president Mike Fennell arrived in Delhi on Thursday for a meeting with Prime Minister Manmohan Singh to discuss the problems.
"Let me assure you on behalf of the government of India and the people of India that we will see to it that the Commonwealth Games are conducted according to international standards, and the athletes who come to participate in these games will feel quite happy about their conditions," Krishna told the BBC.
A dirty sink in a bathroom at the athletes' village
Team England's chef de mission Craig Hunter is optimistic the problems will come together at the last minute "like an Indian wedding".
"We looked in some towers where, even [on Thursday], with countries supposed to be moving in, there's no plaster on the walls, they are deep in water and extremely uninhabitable and quite dangerous in many respects," he stated.
"We are in good shape, but what we are demanding is that all nations are treated equally.
"I've always said this event will be like an Indian wedding and it will be ready just before the bride arrives.
"The amount of rain that can fall in a very short space of time is quite incredible and at times we are waterlogged.
"Now we're really struggling and having jokes about how we're going to surf down from our accommodation to the dining room because there's so much water."
England's world champion teenage diver Tom Daley has confirmed he will be going to the Games unless told otherwise by team officials.
The 16-year-old, who won the 10m platform world title in Rome last year, said: "As long as England are going then I'll be going.
"As long as they are sending a team I am willing to go because I trust them and I really want to compete in the Commonwealth Games. The only thing I can do now is concentrate on my preparation."
Click to play
Click to play
Diver Daley positive about Games
And England hockey player James Tindall told BBC Radio 5 live: "I haven't got any concerns or worries about going to India.
"We've been [to India] for the World Cup earlier in the year. We enjoyed it and were happy with the security.
"The village may be an unknown to us but they've got enough time to the start of the Games."
Delhi has had seven years to prepare for the Games but the majority of work only began in 2008.
Ticket sales have been disappointing, and the cost of hosting the largest sporting event in the country's history has soared, making it the most expensive Commonwealth Games in history, with estimates ranging from $3bn (£1.9bn) to more than $10bn (£6.3bn).
INDIA HAWAKUPASWA KUANDAA MICHEZO YA MADOLA
India hawakupaswa kuandaa michuano ya madola 2010 kwa mujibu wa Rais wa kamati ya Olympic ya Australian AOC John Coates.Matayarisho ya michezo ambayo itaanza October 3 mpaka October 14 yameendelea kuchelewa na kumbwela.
Kijiji cha wanamichezo kimeelezewa kuwa kimeshindwa kukamilika mapema kiasi kupelekea mataifa kadhaa kuchelewa kuelekea huko matatizo ya marekebisho yatakapo kamilika .
"In hindsight, no, they shouldn't have been awarded the Games."
Coates alikuwa ni mmoja wa wanachama wa maandalizi ya kamati ya maandalizi ya michuano ya Olympic mwaka 2000 Sydney Australia na kisha pia kuwa ndani ya bodi ya kimataifa ya kamati ya utendaji Olympics.
Anasema wakati IOC ambao wanafuatilia maandalizi ya michuano ya Olympic ya jijini London mwaka 2012 ina jumla ya watu 400 wakati ambapo huko Delhi kuna watu watano tu ambao wamekuwa wakifuatilia.
"The CGF is under-resourced," he continued. "It doesn't have the ability to monitor the progress of cities in the way the IOC does."
Coates pia amesema kamati ya Olympic imekuwa katika mikataba katika miji ambayo itaandaa michezo ya mwaka also said that the IOC has contracts in place with London and 2016 Olympic hosts Rio de Janiero to ensure construction deadlines are met and test events are carried out one year before the Games.
"If that had been the case here [in Delhi], then certainly something would have been done a lot sooner because obviously the venues are not ready," he stated.
"Certainly the Commonwealth Games for its future needs to move away from just the old countries - Canada, New Zealand, Australia and Britain taking turns. But the problem is, they [India] weren't ready."
Delhi kunatarajiwa kuwa na jumla ya wanamichezo 7,000 wakiambatana na maafisa wao ambao wanatarajiwa kuwasili kuanzia ijumaa hii.
Thursday, September 23, 2010
NICKI MINAJ KUTOKA NA NYINGINE KALI "RIGHT THROUGH ME" MWEZI NOVEMBER
Nicki katika moja ya show
Mapema hapo jana kwa maana ya tarehe 22 kituo cha redio cha Hot 97 cha nchini Mrekani kwa mara ya kwanza kimecheza kwa majaribio ngoma mpya ya Onika Maraj “Nicki Minaj” "Right Through Me" ambao tunaarifiwa kutoka mwezi November kupitia album yake mpya ya "Pink Friday" .
Na mapema katika majira haya ya kiangazi Nicki mwenyewe alionmgea kupitia MTV juu ya ngoma hiyo akisema "everyone's gonna like it." Kwa hiyo msomaji wa blog hii kaa tayari kudaka ngoma hiyo
Nicki katika pozi nene
Nicki katika moja ya show
Mapema hapo jana kwa maana ya tarehe 22 kituo cha redio cha Hot 97 cha nchini Mrekani kwa mara ya kwanza kimecheza kwa majaribio ngoma mpya ya Onika Maraj “Nicki Minaj” "Right Through Me" ambao tunaarifiwa kutoka mwezi November kupitia album yake mpya ya "Pink Friday" .Na mapema katika majira haya ya kiangazi Nicki mwenyewe alionmgea kupitia MTV juu ya ngoma hiyo akisema "everyone's gonna like it." Kwa hiyo msomaji wa blog hii kaa tayari kudaka ngoma hiyo
Nicki katika pozi nene
EVERYTHING
MILEY CYRUS ANASEMA YEYE BADO MDOGO NA HAJAANZA UTUNDU WA KITANDANI NA WANAUME NA KWAMBA WANAOSEMA HIVYO WANAMSINGIZIATabloid rumors can be so troublesome, but Miley Cyrus circumvents the gossip by spilling the truth via her YouTube video-blog. The teen queen took a break from a math quiz to clear up speculation about her personal life in this clip she posted late yesterday.
Cyrus informs her fans that she is not engaged (and doesn't plan to be any time soon), and that still lives with her family, not her boyfriend. The "Can't Be Tamed" singer insists that she's way too young for that kind of commitment and that she's too focused on her career to seriously settle down.
The biggest rumor Cyrus put to bed was her alleged cell phone usage while driving. She explains that she actually was using her phone to call police to assist her with paparazzi that were blocking her car. "Apparently I got escorted home because I got in trouble by the cops when really I called the cops to deal with the paparazzi and they paparazzi-ed that. So really I can't win," says Cyrus.
Photographers have apparently caused the Disney star a lot of stress and are the reason she looks so miserable in pictures, she says. Cyrus admits that her "city" of California [the singer, hopefully, intended to say Los Angeles] isn't the most attractive place in the world, but she hasn't been able to properly explore since there are always cameras following.
Most of all, Cyrus wants to make sure fans know that she does appreciate their support. Even with her busy schedule, the pop princess assures her YouTube audience that she stops for as many pictures as she can and she absolutely loves when fans tell her how her songs have gotten them through a tough time.
Cyrus signs off with and an air kiss peace sign, and in her extra potent Southern twang, she says, "I'm just like y'all!"
Cyrus informs her fans that she is not engaged (and doesn't plan to be any time soon), and that still lives with her family, not her boyfriend. The "Can't Be Tamed" singer insists that she's way too young for that kind of commitment and that she's too focused on her career to seriously settle down.
The biggest rumor Cyrus put to bed was her alleged cell phone usage while driving. She explains that she actually was using her phone to call police to assist her with paparazzi that were blocking her car. "Apparently I got escorted home because I got in trouble by the cops when really I called the cops to deal with the paparazzi and they paparazzi-ed that. So really I can't win," says Cyrus.
Photographers have apparently caused the Disney star a lot of stress and are the reason she looks so miserable in pictures, she says. Cyrus admits that her "city" of California [the singer, hopefully, intended to say Los Angeles] isn't the most attractive place in the world, but she hasn't been able to properly explore since there are always cameras following.
Most of all, Cyrus wants to make sure fans know that she does appreciate their support. Even with her busy schedule, the pop princess assures her YouTube audience that she stops for as many pictures as she can and she absolutely loves when fans tell her how her songs have gotten them through a tough time.
Cyrus signs off with and an air kiss peace sign, and in her extra potent Southern twang, she says, "I'm just like y'all!"
UINGEREZA BADO KIGUGUMIZI KUELEKEA NEW DELHI KWA AJILI YA MICHUANO YA MADOLA WAKITAKA UHAKIKA WA USALAMA NA MAKAZI BAADA YA MAANDALIZI KUELEKEA KWENYE MICHUANO HIYO KUTOKAMALIKA KWA WAKATI HUKU DARAJA KARIBU NA UWANJA MKUBWA WA MICHUANO KUJERUHI WATU 23.Chini katika picha ni daraja lililovunjika
England bado kuamua kutuma kikosi chake cha kwanza katika michuano ya jumuia ya madola alhamisi hii licha ya hali ya wasiwasi juu ya kukamilika kwa maandalizi ya michezo hiyo.
Mwenyekiti wa England Sir Andrew Foster amekaririwa akisema bado wanahitaji uhakiki wa kiusalama kwa wanamichezo wao hususani juu ya makazi na mazingira kamili ya maeneo ya kuchezea michezo yenyewe.
Akiongeza Foster anasema timu yao bado ina dhamira yakuelekea Delhi na kusema hawajabadili msimamo wa kuelekea huko.
"timu yetu inaendelea kujiandaa kwa kikosi cha kwanza kuelekea Delhi kwa kikosi cha kwanza kufanya safari kikiwa na wanamichezo ambao wanaondoka alhamisi."
"bado tunaamini kuwa hali ya maandalizi si safi na tunafuatilia na viongozi wetu wa huko kabla ya kuondoka.
Takrinani wa 23 people wamejeruhiwa katika daraja kubwa linalotumiwa zaidi na watembea kwa miguu katikati ya mji wa Delhi karibu na uwanja mkubwa utakao tumika kwa ajili ya michezo ya olimpic ajali hiyo imetokea hapo jana.
Scotland, Wales na Uingereza tayari wameonyesha wasiwasi wao juu ya ushiriki katika michuano hiyo mwezi ujao kwa kuhofia juu ya vifaa na hali ya usalama ndani ya mji huo wa Delhi.
Timu za Scotland na Jersey zinachelewa kuelekea India kwa hofu ya kijiji cha wanamichezo kuwa na matatizo.
Wales kwa upande wake imetoa muda kwa waandaaji kuwa mpaka kufikia jumatano usiku wa leo kuthibtisha kuwa viwanja vyote viko tayari ilhali waingereza wakisema hali ya ipo katika hali ya kama ncha ya kisu.
Michuano ya madola inatarajia kuanza Octoba 3 mpaka octoba 14 na wanamichezo wakianza kuwasili India juma hili .
Mataifa mbalimbali yamelalamikia juu ya makazi yao watakapo kuwa huko wakisema ni "unfit for human habitation" ilhali wasiwasi wa kiusalama umeendelea kuwatisha kwa kuwa ndani ya majengo dari za majengo ama lugha nyepesi “ceiling body” hazina ubora na mfano mkubwa ni kudondoka kwa sehemu ya ceiling bodi ya uwanja wa mashindano hii leo.
Hakuna majeruhi aliyeripotiwa kufuatia tukio hilo maafisa wa India wamethibtisha hilo na wakisema hilo sia jambo la kuwatisha washiriki.
Scotland kama sehemu ya washiriki wa kwanza kuelekea huko wakiwa na jumla ya wanamichezo 41 kwa michezo ya boxing, rugby na wrestling wanatarajia kuelekea huko kesho lakini wasiwasi wa hali ya mambo umekuwa kikwazo kutoa taarifa ni lini hasa watakwea pipa kuelekea huko.
Mwenyekiti wa England Sir Andrew Foster amekaririwa akisema bado wanahitaji uhakiki wa kiusalama kwa wanamichezo wao hususani juu ya makazi na mazingira kamili ya maeneo ya kuchezea michezo yenyewe.
Akiongeza Foster anasema timu yao bado ina dhamira yakuelekea Delhi na kusema hawajabadili msimamo wa kuelekea huko.
"timu yetu inaendelea kujiandaa kwa kikosi cha kwanza kuelekea Delhi kwa kikosi cha kwanza kufanya safari kikiwa na wanamichezo ambao wanaondoka alhamisi."
"bado tunaamini kuwa hali ya maandalizi si safi na tunafuatilia na viongozi wetu wa huko kabla ya kuondoka.
Takrinani wa 23 people wamejeruhiwa katika daraja kubwa linalotumiwa zaidi na watembea kwa miguu katikati ya mji wa Delhi karibu na uwanja mkubwa utakao tumika kwa ajili ya michezo ya olimpic ajali hiyo imetokea hapo jana.
Scotland, Wales na Uingereza tayari wameonyesha wasiwasi wao juu ya ushiriki katika michuano hiyo mwezi ujao kwa kuhofia juu ya vifaa na hali ya usalama ndani ya mji huo wa Delhi.
Timu za Scotland na Jersey zinachelewa kuelekea India kwa hofu ya kijiji cha wanamichezo kuwa na matatizo.
Wales kwa upande wake imetoa muda kwa waandaaji kuwa mpaka kufikia jumatano usiku wa leo kuthibtisha kuwa viwanja vyote viko tayari ilhali waingereza wakisema hali ya ipo katika hali ya kama ncha ya kisu.
Michuano ya madola inatarajia kuanza Octoba 3 mpaka octoba 14 na wanamichezo wakianza kuwasili India juma hili .
Mataifa mbalimbali yamelalamikia juu ya makazi yao watakapo kuwa huko wakisema ni "unfit for human habitation" ilhali wasiwasi wa kiusalama umeendelea kuwatisha kwa kuwa ndani ya majengo dari za majengo ama lugha nyepesi “ceiling body” hazina ubora na mfano mkubwa ni kudondoka kwa sehemu ya ceiling bodi ya uwanja wa mashindano hii leo.
Hakuna majeruhi aliyeripotiwa kufuatia tukio hilo maafisa wa India wamethibtisha hilo na wakisema hilo sia jambo la kuwatisha washiriki.
Scotland kama sehemu ya washiriki wa kwanza kuelekea huko wakiwa na jumla ya wanamichezo 41 kwa michezo ya boxing, rugby na wrestling wanatarajia kuelekea huko kesho lakini wasiwasi wa hali ya mambo umekuwa kikwazo kutoa taarifa ni lini hasa watakwea pipa kuelekea huko.
ARSENE WENGER KUENDELEA KUFUNDISHA KWA MUDA MREFU
Arsene Wenger amesisitiza kuwa atasalia katika kazi ya ukocha kwa muda muda mrefu lakini anafikiria kurejea nyumbani kwao nchini Ufaransa baada ya maktaba wake na Arsenal utakapo malizika mwaka 2014.
Kwasasa Wenger ana umri wa miaka 61 akiwa tayari ameshaongeza mkataba wake na klabu yake ya Arsenal kwa muda wa miaka mitatu na huku akisema anafarijika sana kufanya kazi ndani ya viunga vua uwanja wa Emirates Stadium.
Kuna uwezekano wa Wenger kurejea nyumbani kwa alikozaliwa na inafikiriwa kuelekea huko Strasbourg sehemu ambako aliwahi kucheza soka.
Arsene Wenger amesisitiza kuwa atasalia katika kazi ya ukocha kwa muda muda mrefu lakini anafikiria kurejea nyumbani kwao nchini Ufaransa baada ya maktaba wake na Arsenal utakapo malizika mwaka 2014.Kwasasa Wenger ana umri wa miaka 61 akiwa tayari ameshaongeza mkataba wake na klabu yake ya Arsenal kwa muda wa miaka mitatu na huku akisema anafarijika sana kufanya kazi ndani ya viunga vua uwanja wa Emirates Stadium.
Kuna uwezekano wa Wenger kurejea nyumbani kwa alikozaliwa na inafikiriwa kuelekea huko Strasbourg sehemu ambako aliwahi kucheza soka.
Wednesday, September 22, 2010
MWAMUZI WA MCHEZO WA KOMBE LA DUNIA ITALIA DHIDI YA KOREA KUSINI AKUTWA NA MADAWA YA KULEVYA
Byron Moreno ambaye alipuliza kipyenga katika fainali za kombe la dunia za mwaka 2002 nchini Italia hususani mchezo kati ya Italia na Korea kusini amekamatwa kwa kuhusishwa na ubebaji wa madawa ya kulevya aina ya heroin.
Moreno raia wa Ecuador amekamatwa katika uwanja wa ndege wa John F. Kennedy jijini New York na maafisa wa upepelezi wanasema alikuwa na begi la madawa aina ya heroin katika nguo zake za ndani.
Afisa forodha anasema alikuwa amebeba zaidi ya zaidi ya paund kumi ya madawa hayo.
Anakumbukwa kwa kuvurunda mchezo mchezo wa kombe la dunia kati ya wenyeji wenza wa fainali za kombe la dunia Korea kusini dhidi ya Italia mchezo ambao Korea kusinia walipata ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya italia mnamo mwaka wakorea wakipata bao la pili katika dakika za nyongeza mwaka 2002 licha ya mfungaji kuwa katika mazingira ya kuotea pamoja na kukataa penati ambayo Francesco Totti aliangushwa katika eneo la hatari na kisha kumzawadia Totti kadi nyekundu akisema alijirusha.
Mlinda mlango wa wakati huo wa Italia Gianluigi Buffon anasema
"nadhani Moreno tayari alikwisha kuwa na heroin tangu mwaka 2002,akimaanisha katika fainali za kombe la dunia za mwaka 2002 lakini anasema kwa wakati ule madawa hayo yalikuwa mwilini kwake na si kwenye chupi kama ilivyo sasa yakiwa ni maneno ya dhihaka yaliyo jaa hasira.
Hata ntota wa zamani wa kikosi cha italia wakati ule Christian Panucci naye alikuwepo katika kikosi dhidi ya Korea Kusini hakuonekana kushituka baada ya kusikia taarifa hizo.
Bosi wa kikosi cha Italia cha fainali hizo za mwaka 2002 raia wa Ireland Giovanni Trapattoni anasema ashutuki na na hilo isipokuwa hiyo inathibitsha mengi ama machache yake katika katika fainali za kombe la dunia za wakati ule.
Nyota wa Sunderland Titus Bramble kizimbani kwa ubakaji .
Titus Bramble nyota wa Sunderland amelazimika kwenda kizimbani kufuatia jaribila la ubakaji ,nyota huyo amewahi kuvichezea vilabu vya Newcastle na Wigan na inaarifiwa kufanya jaribio hilo kwa mwanamke mmoja huko Newcastle .
Mlinzi huyo katika Premier League akiwa pamija na kaka yake Tesfaye Bramble walitiwa kiziwizini katika hotel ya Vermont Hotel mapema hii leo na kuhojiwa .
Mlinzi huyo mwenye umri wa miaka 29 alikamatwa baada ya mwanamke huyo kuwapigia simu polisi ndani ya sekunde 20.
Sunderland Football Club haijasema lolote juu ya hilo.Bramble alijiunga na klabu hiyo akitokea Wigan katika majira ya kiangazi
Msemaji wa kituo cha polisi cha Northumbria Police amesema wanaume wawili wenye umri wa miaka 29 na 30 wamekamatwa kuhusika na ubakaji huyo.
Bramble amewahi kuichezea timu ya taifa ya uingereza chini ya umri wa miaka 21 akichezea pia vilabu vya Newcastle United na Ipswich.
Kaka yake huyo ameichezea Montserrat na Southend United pamoja na Stockport County.
Kiungo mchezeshaji wa Inter Milan mholanzi Wesley Sneijder amekanusha taarifa zinazo zagaa juu ya yeye kutaka kuelekea kwa kocha wake wa zamani Jose Mourinho ambaye kwasasa anakinoa kikosi cha Real Madrid ya Hispania kwa mujibu wa walaka wa kiungo huyo.
Sneijder alikuwa ndio roho ya kikosi cha Mourinho msimu wa uliopita kiasi kufanikisha mataji kadhaa ikiwemo yakiwemo ya Seria A,Copper Italia kabla ya kutwa taji kubwa la Champions League.
Baada ya kuweka kunyavu mara nane kwa kikosi katika kikosi cha Nerazzurri na kuwa ni moja ya chachu za ushindi katika kampeni za mtaji mablimbali alielekea katika michuano ya kombe la dunia akiongoza kikosi cha uholanzi ambako alifanikiwa kufunga jumla ya mabao 5 na kuisaidia Oranje kufikia fainali ya konbe la dunia ambapo walipoteza mbele wa Hispania .
Mourinho ameshindwa pia kumchukua Sneijder mwenzake toka klabu hiyohiyo ya Inter Milan Maicon kuelekea Bernabeu katika usajili wa kingazi lakini wakala wa mduchi huyo Soren Lerby ametanabaisha kuwa 'Special One' pia anafikiria kumrejesha wakala wake katika klabu hiyo ambayo haiikuuza wachezaji msimu wa usajili uliopita.
Na wakati mazungumzo ya mkataba kuelekea kukamilika Lerby anasema wakati Sneijder akifurahia maisha ndani ya San Siro uwezekano wa Mourinho ambaye yuko Real Madrid kurejea limekuwa ni swali
Byron Moreno ambaye alipuliza kipyenga katika fainali za kombe la dunia za mwaka 2002 nchini Italia hususani mchezo kati ya Italia na Korea kusini amekamatwa kwa kuhusishwa na ubebaji wa madawa ya kulevya aina ya heroin.Moreno raia wa Ecuador amekamatwa katika uwanja wa ndege wa John F. Kennedy jijini New York na maafisa wa upepelezi wanasema alikuwa na begi la madawa aina ya heroin katika nguo zake za ndani.
Afisa forodha anasema alikuwa amebeba zaidi ya zaidi ya paund kumi ya madawa hayo.
Anakumbukwa kwa kuvurunda mchezo mchezo wa kombe la dunia kati ya wenyeji wenza wa fainali za kombe la dunia Korea kusini dhidi ya Italia mchezo ambao Korea kusinia walipata ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya italia mnamo mwaka wakorea wakipata bao la pili katika dakika za nyongeza mwaka 2002 licha ya mfungaji kuwa katika mazingira ya kuotea pamoja na kukataa penati ambayo Francesco Totti aliangushwa katika eneo la hatari na kisha kumzawadia Totti kadi nyekundu akisema alijirusha.
Mlinda mlango wa wakati huo wa Italia Gianluigi Buffon anasema
"nadhani Moreno tayari alikwisha kuwa na heroin tangu mwaka 2002,akimaanisha katika fainali za kombe la dunia za mwaka 2002 lakini anasema kwa wakati ule madawa hayo yalikuwa mwilini kwake na si kwenye chupi kama ilivyo sasa yakiwa ni maneno ya dhihaka yaliyo jaa hasira.
Hata ntota wa zamani wa kikosi cha italia wakati ule Christian Panucci naye alikuwepo katika kikosi dhidi ya Korea Kusini hakuonekana kushituka baada ya kusikia taarifa hizo.
Bosi wa kikosi cha Italia cha fainali hizo za mwaka 2002 raia wa Ireland Giovanni Trapattoni anasema ashutuki na na hilo isipokuwa hiyo inathibitsha mengi ama machache yake katika katika fainali za kombe la dunia za wakati ule.
NYOTA WA SUNDERLAND TITUS BRAMBLE NA KAKA YAKE MATATANI KWA UBAKAJI
Nyota wa Sunderland Titus Bramble kizimbani kwa ubakaji .Titus Bramble nyota wa Sunderland amelazimika kwenda kizimbani kufuatia jaribila la ubakaji ,nyota huyo amewahi kuvichezea vilabu vya Newcastle na Wigan na inaarifiwa kufanya jaribio hilo kwa mwanamke mmoja huko Newcastle .
Mlinzi huyo katika Premier League akiwa pamija na kaka yake Tesfaye Bramble walitiwa kiziwizini katika hotel ya Vermont Hotel mapema hii leo na kuhojiwa .
Mlinzi huyo mwenye umri wa miaka 29 alikamatwa baada ya mwanamke huyo kuwapigia simu polisi ndani ya sekunde 20.
Sunderland Football Club haijasema lolote juu ya hilo.Bramble alijiunga na klabu hiyo akitokea Wigan katika majira ya kiangazi
Msemaji wa kituo cha polisi cha Northumbria Police amesema wanaume wawili wenye umri wa miaka 29 na 30 wamekamatwa kuhusika na ubakaji huyo.
Bramble amewahi kuichezea timu ya taifa ya uingereza chini ya umri wa miaka 21 akichezea pia vilabu vya Newcastle United na Ipswich.
Kaka yake huyo ameichezea Montserrat na Southend United pamoja na Stockport County.
CARLOS VELA NA EFRAIN JUAREZ WAKUMBANA NA ADHABU YA KIMATAIFA
Mexico imewasimamisha Carlos Vela na Efrain Juarez kwa miezi sita baada ya kilo kilichoelezwa kuwa ni kuvunja sheria za uwajibikaji wao katika timu ya taifa.
Wawili hao ambao maskani yao ni nchini Uingerea pamoja na wengine kadhaa Guillermo Ochoa, Maza Rodriguez, Carlos Salcido, Andres Guardado, Gerardo Torrado, Pablo Barrera, Giovani dos Santos, Chicharito Hernandez, Rafael Marquez, Enrique Esqueda na Hector Moreno wote kwa pamoja pia wamepigwa faini ya “Pesos 50,000” ambazo ni sawa pauni elfu 2,517 ambazo pia ni sawa na dolari za kimarekani 4,000.
Adhabu hiyo inahusishwa na madai mchezo wa kimataifa wa kirafiki dhidi ya Colombia mchezo ambao umemalizika wakipata ushindi wa bao 1-0 mchezo ulipigwa kule Monterrey mapema mwezi huu huku Vela na Juarez ambao wanachezea katika vilabu vya Arsenal na Celtic wakivunja jumla ya sheria za kimataifa za shirikisho la kandanda nne “federation's code of conduct”.
Mkurugenzi wa timu ya taifa ya nchi yao ya Mexico Nestor de la Torre amekaririwa akisema
"Carlos Vela na Efrain Juarez watalazimika kusubiri kwa miezi sita kuanzia siku ya tukio hilo yaani September 8 kwa maana ya kutokuitwa katika national team kwa kuwa wamekuwa na makosa katika maeneo manne ."
Hata hivyo katika kipindi chote hicho inaarifiwa kuwa Mexico itakuwa na mchezo mmoja tu na mchezo wenyewe niwa kirafiki
Mexico imewasimamisha Carlos Vela na Efrain Juarez kwa miezi sita baada ya kilo kilichoelezwa kuwa ni kuvunja sheria za uwajibikaji wao katika timu ya taifa.Wawili hao ambao maskani yao ni nchini Uingerea pamoja na wengine kadhaa Guillermo Ochoa, Maza Rodriguez, Carlos Salcido, Andres Guardado, Gerardo Torrado, Pablo Barrera, Giovani dos Santos, Chicharito Hernandez, Rafael Marquez, Enrique Esqueda na Hector Moreno wote kwa pamoja pia wamepigwa faini ya “Pesos 50,000” ambazo ni sawa pauni elfu 2,517 ambazo pia ni sawa na dolari za kimarekani 4,000.
Adhabu hiyo inahusishwa na madai mchezo wa kimataifa wa kirafiki dhidi ya Colombia mchezo ambao umemalizika wakipata ushindi wa bao 1-0 mchezo ulipigwa kule Monterrey mapema mwezi huu huku Vela na Juarez ambao wanachezea katika vilabu vya Arsenal na Celtic wakivunja jumla ya sheria za kimataifa za shirikisho la kandanda nne “federation's code of conduct”.
Mkurugenzi wa timu ya taifa ya nchi yao ya Mexico Nestor de la Torre amekaririwa akisema
"Carlos Vela na Efrain Juarez watalazimika kusubiri kwa miezi sita kuanzia siku ya tukio hilo yaani September 8 kwa maana ya kutokuitwa katika national team kwa kuwa wamekuwa na makosa katika maeneo manne ."
Hata hivyo katika kipindi chote hicho inaarifiwa kuwa Mexico itakuwa na mchezo mmoja tu na mchezo wenyewe niwa kirafiki
WESLEY SNEIJDER AKAKUSHA TENA KUMFUATA JOSE MOURINHO REAL MADRID
Kiungo mchezeshaji wa Inter Milan mholanzi Wesley Sneijder amekanusha taarifa zinazo zagaa juu ya yeye kutaka kuelekea kwa kocha wake wa zamani Jose Mourinho ambaye kwasasa anakinoa kikosi cha Real Madrid ya Hispania kwa mujibu wa walaka wa kiungo huyo.Sneijder alikuwa ndio roho ya kikosi cha Mourinho msimu wa uliopita kiasi kufanikisha mataji kadhaa ikiwemo yakiwemo ya Seria A,Copper Italia kabla ya kutwa taji kubwa la Champions League.
Baada ya kuweka kunyavu mara nane kwa kikosi katika kikosi cha Nerazzurri na kuwa ni moja ya chachu za ushindi katika kampeni za mtaji mablimbali alielekea katika michuano ya kombe la dunia akiongoza kikosi cha uholanzi ambako alifanikiwa kufunga jumla ya mabao 5 na kuisaidia Oranje kufikia fainali ya konbe la dunia ambapo walipoteza mbele wa Hispania .
Mourinho ameshindwa pia kumchukua Sneijder mwenzake toka klabu hiyohiyo ya Inter Milan Maicon kuelekea Bernabeu katika usajili wa kingazi lakini wakala wa mduchi huyo Soren Lerby ametanabaisha kuwa 'Special One' pia anafikiria kumrejesha wakala wake katika klabu hiyo ambayo haiikuuza wachezaji msimu wa usajili uliopita.
Na wakati mazungumzo ya mkataba kuelekea kukamilika Lerby anasema wakati Sneijder akifurahia maisha ndani ya San Siro uwezekano wa Mourinho ambaye yuko Real Madrid kurejea limekuwa ni swali
NEYMAR AMFUKUZISHA KAZI KOCHA WAKE WA SANTOS KISA PENATI
Timu ya Santos ya nchini Brazil imemfukuza kocha wake mkuu Dorival Junior baada ya kuzozana na nyota wa kikosi Neymar.
Santos imefikia maamuzi hayo ya kumswaga kocha huyo Dorival Junior na kuthibitshwa na klabu yenyewe kupitia mtandao maalum wa klabu .
Kocha huyo amekuwa katika mzozo na nyota huyo tangu juma lililopita kufuatia Neymar kutaka kupiga penati lakini Dorival Junior akamueleza mshambuliaji huyo kuwa penati hiyo itapigwa na Marcel.
Baadaye Neymar aliondoka na kisha kwa hasira baadaye alimvaa kocha wake Dorival katika benchi la Santos na kiasi kupelekea mwamuzi wa pembeni kumtuliza baada kocha wake kumdharau.
Baadaye Neymar aliomba radhi wa ufedhuli wake lakini Dorival Junior lakini alionekana kutokubaliana naye na kulazimika kumuadhibu kwa kumtoa katika kikosi kuelekea katika mchezo wa leo dhidi ya Corinthians katika dimba la Sao Paulo clasico Wednesday.
Bodi ya wakurugenzi ya Santos wameonekana kutokufurahishwa na maamuzi ya Dorival na kulazimika kumuondosha kocha huyo wa kiwango cha juu nchini humo.
Taarifa ya mtandao wa klabu inasomeka Marcelo Martelote ameteuliwa kuchukua nafasi mpaka pale atakapo patikana mbadala wake wa kudumu.
Timu ya Santos ya nchini Brazil imemfukuza kocha wake mkuu Dorival Junior baada ya kuzozana na nyota wa kikosi Neymar.Santos imefikia maamuzi hayo ya kumswaga kocha huyo Dorival Junior na kuthibitshwa na klabu yenyewe kupitia mtandao maalum wa klabu .
Kocha huyo amekuwa katika mzozo na nyota huyo tangu juma lililopita kufuatia Neymar kutaka kupiga penati lakini Dorival Junior akamueleza mshambuliaji huyo kuwa penati hiyo itapigwa na Marcel.
Baadaye Neymar aliondoka na kisha kwa hasira baadaye alimvaa kocha wake Dorival katika benchi la Santos na kiasi kupelekea mwamuzi wa pembeni kumtuliza baada kocha wake kumdharau.
Baadaye Neymar aliomba radhi wa ufedhuli wake lakini Dorival Junior lakini alionekana kutokubaliana naye na kulazimika kumuadhibu kwa kumtoa katika kikosi kuelekea katika mchezo wa leo dhidi ya Corinthians katika dimba la Sao Paulo clasico Wednesday.
Bodi ya wakurugenzi ya Santos wameonekana kutokufurahishwa na maamuzi ya Dorival na kulazimika kumuondosha kocha huyo wa kiwango cha juu nchini humo.
Taarifa ya mtandao wa klabu inasomeka Marcelo Martelote ameteuliwa kuchukua nafasi mpaka pale atakapo patikana mbadala wake wa kudumu.
Tuesday, September 21, 2010
KIJIJI CHA OLIMPIC NCHINI INDIA CHAWATIA MASHAKA WASHIRIKI KUSHINDWA KUKAMILIKA KWA WAKATI, UINGEREZA NA SCOTLAND WASEMA HAKINA HADHI ZA KIBINADAMU
England na Scotland watilia mashaka michuano ya madola
Uingereza pamoja Scotland wameanza kuwa katika mashaka makubwa juu ya michuano ya jumuia ya madola hususani obovu wa kijiji cha kilichoa andaliwa kwa ajili ya michuano hiyo kilichopo Delhi wakisema hakina ubora.Kwa mujibu wa taarifa zilizo ripotiwa toka kwa maafisa wa Scottland wamekaririwa wakisema makazi hayo si salama na hakufai maisha ya binadamu
Uingereza imekuwa katika kujiamini mno kuweza kufanya vizuri lakini kazi uboreshaji inapaswa kufanywa kabla ya kuanza kwa michezo hiyo October 3.
Maafisa wa Wales wako karibu na makao makuu na wanaamini kuwa waandaaji wanapaswa na wanauwezo wa kufanya hivyo.
Wawakilishi wa kwanza timu ya Ireland ya Kaskazini wanatarajiwa kuondokaa leo kuelekea India wakiwa tayari wamesha jipanga kwa ajili ya kusaka eneo mbadala endepo hali waliko pangiwa itakuwa hivyo.
Kazi ya ujenzi imekwanda tofauti na ilivyo pangwa kuelekea kwenye michuano hiyo huku ufunguzi rasmi wa kijiji hicho ukitarajiwa kufanyika alhamisi ambapo jumla ya wanamichezo 7000 na maafisa wao wakitarajiwa kufurika katika kijiji hicho.
Hali ya usalama imekuwa katika hofu kubwa hasa baada ya watu 19 kujeruhiwa baada ya daraja muhimu kuvunjika karibu na uwanja wa matukio ya kimichezo jumanne .
Chama cha kandanda nchini uingereza FA hii kimethibitsha adhabu ya bosi wa Arsenal Arsene Wenger baada ya kocha huyo kukuibaliana na maamuzi hayo ambayo kimsingi yametokana na utoaji wake wa lugha chafu na mwenendo mbaya wa kukalia benchi ambapo sasa atakuwa akitumikia adhabu ya mchezo mmoja kuwa mbali na benchi la lake.
Mfaransa huyo pamoja na adhabu hiyo atalazimika kulipa faini ya pauni elfu £8,000 ambapo atakosekana katika mchezo dhidi ya Totternham Hostspur wa League Cup hii leo.
Adhabu hiyo imetokana na mchezo wa sare ya bao 1-1 dhidi ya Sunderland ulipigwa katika dimba la Stadium of Light jumamosi ambapo Wenger alimkabili match officials kufuatia bao la kusawazisha la wenyeji akitoa maneno ya kupinga maamuzi ya mwamuzi.
Hata baada ya mchezo kumalizika , Wenger aliendelea kuonyesha hasira zake kwa match officials kwa kuonekana kuongeza muda wa mchezo mara baada ya zile nyingine za nyongeza za mchezo kumalizika .
England na Scotland watilia mashaka michuano ya madola Uingereza pamoja Scotland wameanza kuwa katika mashaka makubwa juu ya michuano ya jumuia ya madola hususani obovu wa kijiji cha kilichoa andaliwa kwa ajili ya michuano hiyo kilichopo Delhi wakisema hakina ubora.Kwa mujibu wa taarifa zilizo ripotiwa toka kwa maafisa wa Scottland wamekaririwa wakisema makazi hayo si salama na hakufai maisha ya binadamu
Uingereza imekuwa katika kujiamini mno kuweza kufanya vizuri lakini kazi uboreshaji inapaswa kufanywa kabla ya kuanza kwa michezo hiyo October 3.Maafisa wa Wales wako karibu na makao makuu na wanaamini kuwa waandaaji wanapaswa na wanauwezo wa kufanya hivyo.
Wawakilishi wa kwanza timu ya Ireland ya Kaskazini wanatarajiwa kuondokaa leo kuelekea India wakiwa tayari wamesha jipanga kwa ajili ya kusaka eneo mbadala endepo hali waliko pangiwa itakuwa hivyo.
Kazi ya ujenzi imekwanda tofauti na ilivyo pangwa kuelekea kwenye michuano hiyo huku ufunguzi rasmi wa kijiji hicho ukitarajiwa kufanyika alhamisi ambapo jumla ya wanamichezo 7000 na maafisa wao wakitarajiwa kufurika katika kijiji hicho.Hali ya usalama imekuwa katika hofu kubwa hasa baada ya watu 19 kujeruhiwa baada ya daraja muhimu kuvunjika karibu na uwanja wa matukio ya kimichezo jumanne .
ARSENAL WENGER KWENDA BENCHI MCHEZO MMOJA
Chama cha kandanda nchini uingereza FA hii kimethibitsha adhabu ya bosi wa Arsenal Arsene Wenger baada ya kocha huyo kukuibaliana na maamuzi hayo ambayo kimsingi yametokana na utoaji wake wa lugha chafu na mwenendo mbaya wa kukalia benchi ambapo sasa atakuwa akitumikia adhabu ya mchezo mmoja kuwa mbali na benchi la lake.Mfaransa huyo pamoja na adhabu hiyo atalazimika kulipa faini ya pauni elfu £8,000 ambapo atakosekana katika mchezo dhidi ya Totternham Hostspur wa League Cup hii leo.
Adhabu hiyo imetokana na mchezo wa sare ya bao 1-1 dhidi ya Sunderland ulipigwa katika dimba la Stadium of Light jumamosi ambapo Wenger alimkabili match officials kufuatia bao la kusawazisha la wenyeji akitoa maneno ya kupinga maamuzi ya mwamuzi.
Hata baada ya mchezo kumalizika , Wenger aliendelea kuonyesha hasira zake kwa match officials kwa kuonekana kuongeza muda wa mchezo mara baada ya zile nyingine za nyongeza za mchezo kumalizika .
BARBATOV ANASEMA ALIJIANDAA KUFANYA VIZURI TANGU SAMMER
Mshambuliaji wa Manchester United Dimitar Berbatov ametanabaisha kuwa mkakati wake wa kujiweka fiki katika kipindi chote cha maandalizi ya ligi wakati wa kiangazi ndiyo siri pekee ya yeye kuwa katika kiwango ambacho anacho hivi sasa Old Trafford.
Berbatov ambaye alijiunga na United akitokea Tottenham Hotspur miaka miwili iliyopita huko nyuma alishindwa kabisa kuonyesha ubora wake kulinga na thamani yake ya ngawira za uhamisho wa pauni milioni £30.75 . alifakiwa kufunga jumla ya mabao tisa tu katika msimu wake wa uhamisho kabla ya kupachika nyavuni jumla ya mabao 12 katika msimu ulipita
Nyota huyo wa zamani wa Bulgaria hatimaye amerejesha uwezo wake katika wiki za mwanzoni mwa msimu na katika kulidhihirisha hilo katika mchezo wa jumapili dhidi ya Liverpool akafanikiwa kutingisha nyavu mara tatu yaani superb hat-trick.
Hiyo ina maana ya kwamba Berbatov mwenye umri ewa miaka 29 tayari amesha weka wavuni jumla ya mabao sita baada ya michezo mitano ya msimu huu.
Berbatov tayari ana matumaini ya kunyamazisha maneno ya ukosoaji wakati wa kuelekea katika kiangazi hususani wakati wa michuano ya kombe la dunia
Akikaririwa mwenyewe anasema
"nimefanya kazi kubwa kuwa katika kiwango sasa sina tena uzito kama ambavyo kila mtu anavyo weza kushuhudia na niweza kulifanyia kazi hilo nilikuwa nikikimbia mile sita kila siku kuelekea katika msimu mpya. Ratiba yangu ilikuwa ninashuhudia michezo ya kombe la dunia halafu naanza kukimbia halafu nakwenda kuangalia tena mchezo unaofuata kisha narejea tena kukimbia.
URENO YATHIBITISHA KUMUAJIRI PAULO BENTO KUWA KOCHA MPYA
Ureno imethibitisha kumuajiri kocha wa zamani wa wa klabu ya Sporting Lisbon Paulo Bento kuwa kocha mpya wa timu ya soka ya Ureno as the new coach of the
Bento ambaye amekitumikia kikosi cha ushindi cha Ureno kama mchezaji mara 35 wakati wa enzi zake anachukua nafasi ya Carlos Queiroz, ambaye alitimuliwa kazi kutokana na matokeo mabovu na utovu wa nidhamu katika michezo ya kampeni kufuzu Euro 2012.
Baada ya Real Madrid kugomea jaribio lao la kumtaka Jose Mourinho shirikisho la kandanda la ureno FTF limemgeukia Bento kuingoza Ureno.
Bento amekuwepo katika kikosi cha Ureno miaka Euro 2000 na kombe la dunia 2002 kabla ya kuelekea kuifundisha kwa miaka minne Sporting na kufanikiwa kutwaa taji la Ureno mara mbili 2007 na 2008.
Mkataba wa Bento utamalizika 2012 huku mtihani wake wa kwanza ukiwa ni dhidi ya Denmark October 8 na atakuwa akisaidiana na Leonel Pontes na Joao Aroso kama mtaalamu wa physic na nyota wa zamani wa Sporting Ricardo Peres atakuwa kocha wa makipa.
Mshambuliaji wa Manchester United Dimitar Berbatov ametanabaisha kuwa mkakati wake wa kujiweka fiki katika kipindi chote cha maandalizi ya ligi wakati wa kiangazi ndiyo siri pekee ya yeye kuwa katika kiwango ambacho anacho hivi sasa Old Trafford.Berbatov ambaye alijiunga na United akitokea Tottenham Hotspur miaka miwili iliyopita huko nyuma alishindwa kabisa kuonyesha ubora wake kulinga na thamani yake ya ngawira za uhamisho wa pauni milioni £30.75 . alifakiwa kufunga jumla ya mabao tisa tu katika msimu wake wa uhamisho kabla ya kupachika nyavuni jumla ya mabao 12 katika msimu ulipita
Nyota huyo wa zamani wa Bulgaria hatimaye amerejesha uwezo wake katika wiki za mwanzoni mwa msimu na katika kulidhihirisha hilo katika mchezo wa jumapili dhidi ya Liverpool akafanikiwa kutingisha nyavu mara tatu yaani superb hat-trick.
Hiyo ina maana ya kwamba Berbatov mwenye umri ewa miaka 29 tayari amesha weka wavuni jumla ya mabao sita baada ya michezo mitano ya msimu huu.
Berbatov tayari ana matumaini ya kunyamazisha maneno ya ukosoaji wakati wa kuelekea katika kiangazi hususani wakati wa michuano ya kombe la dunia
Akikaririwa mwenyewe anasema
"nimefanya kazi kubwa kuwa katika kiwango sasa sina tena uzito kama ambavyo kila mtu anavyo weza kushuhudia na niweza kulifanyia kazi hilo nilikuwa nikikimbia mile sita kila siku kuelekea katika msimu mpya. Ratiba yangu ilikuwa ninashuhudia michezo ya kombe la dunia halafu naanza kukimbia halafu nakwenda kuangalia tena mchezo unaofuata kisha narejea tena kukimbia.
URENO YATHIBITISHA KUMUAJIRI PAULO BENTO KUWA KOCHA MPYA
Ureno imethibitisha kumuajiri kocha wa zamani wa wa klabu ya Sporting Lisbon Paulo Bento kuwa kocha mpya wa timu ya soka ya Ureno as the new coach of theBento ambaye amekitumikia kikosi cha ushindi cha Ureno kama mchezaji mara 35 wakati wa enzi zake anachukua nafasi ya Carlos Queiroz, ambaye alitimuliwa kazi kutokana na matokeo mabovu na utovu wa nidhamu katika michezo ya kampeni kufuzu Euro 2012.
Baada ya Real Madrid kugomea jaribio lao la kumtaka Jose Mourinho shirikisho la kandanda la ureno FTF limemgeukia Bento kuingoza Ureno.
Bento amekuwepo katika kikosi cha Ureno miaka Euro 2000 na kombe la dunia 2002 kabla ya kuelekea kuifundisha kwa miaka minne Sporting na kufanikiwa kutwaa taji la Ureno mara mbili 2007 na 2008.
Mkataba wa Bento utamalizika 2012 huku mtihani wake wa kwanza ukiwa ni dhidi ya Denmark October 8 na atakuwa akisaidiana na Leonel Pontes na Joao Aroso kama mtaalamu wa physic na nyota wa zamani wa Sporting Ricardo Peres atakuwa kocha wa makipa.
CESC FABRIGA KUSUBIRI KWA WIKI MBILI MPAKA TATU KUFUATIA MAJEREHA
Arsenal imethibitisha kuwa kiungo Cesc Fabregas atakuwa nje ya uwanja kwa kipindi cha wiki mbili hadi tatu kufuatia mchezaji huyo wa kimataifa wa Hispania kuwa majerahi.
Nyota huyo wa The Gunners aliumia katika kipinchi cha kwanza cha mchezo uliofanyika jumamosi dhidi ya Sunderland uliomalizika kwa timu hizo kwenda sare ya bao 1-1 kutokana na kutokana na matatizo ya msuli.
Vipim vya scan vilivyo fanywa jana vimetanabaisha juu ya ukubwa wa tatizo lake na kwa mujibu wa taarifa kupitia mtandao wa klabu imethi bitika kuwa Cesc Fabregas atakuwa nje ya uwanja kwa takribani wiki tatu
Hata hivyo Fabregas hatakosekana kwa mchezo wa leo pekee dhidi ya Tottenham Hotspur lakini pia atakosekna katika mchezo ujao wa michuano ya mabingwa dhidi ya Partizan Belgrade.
Huenda pia akakosekna katika mchezo wa ligi kuu ya uingereza dhidi ya Chelsea mchezo ambao utapigwa October 3 kutegemeana kasi ya kuboreka kwa afya yake
Arsenal imethibitisha kuwa kiungo Cesc Fabregas atakuwa nje ya uwanja kwa kipindi cha wiki mbili hadi tatu kufuatia mchezaji huyo wa kimataifa wa Hispania kuwa majerahi.Nyota huyo wa The Gunners aliumia katika kipinchi cha kwanza cha mchezo uliofanyika jumamosi dhidi ya Sunderland uliomalizika kwa timu hizo kwenda sare ya bao 1-1 kutokana na kutokana na matatizo ya msuli.
Vipim vya scan vilivyo fanywa jana vimetanabaisha juu ya ukubwa wa tatizo lake na kwa mujibu wa taarifa kupitia mtandao wa klabu imethi bitika kuwa Cesc Fabregas atakuwa nje ya uwanja kwa takribani wiki tatu
Hata hivyo Fabregas hatakosekana kwa mchezo wa leo pekee dhidi ya Tottenham Hotspur lakini pia atakosekna katika mchezo ujao wa michuano ya mabingwa dhidi ya Partizan Belgrade.
Huenda pia akakosekna katika mchezo wa ligi kuu ya uingereza dhidi ya Chelsea mchezo ambao utapigwa October 3 kutegemeana kasi ya kuboreka kwa afya yake
Monday, September 20, 2010
MWISHO MWAMPAMBA TUMBO JOTO KWA UTI ANAMTENGENEZEA ZENGWE LA CHUKI KWA MADEMU, UTI ANASHTUKIA MCHEZO KAZI IMEANZA KUELEKEA MWISHO WA SHINDANO
Uti anasema Mwisho Mwampamba anamhofia sana kufuatia kuonekana kuwa na umri mzuri na wanawake wanamuheshimu .
Katika kile kinachonekana kuwa kama kuanza kuogopana katika kazungumzo ya chini kwa chini Mwisho anamwambia Uti kuwa Meryl hasemi lolote baya kuhusu Uti,huku Uti mwenyewe akijibu kwa kusema ni kwasababu anavyowatendea wanawake.
Na anaendelea kumpasha Mwisho kuwa hadhani kama atafanya jambo baya kwao kwasababu anawaheshimu lakini Mwisho anamwambia Uti kuwa ni kwasababu wanawake anawatisha ndio maana wana muheshimu.
Katika hatu nyingine , Uti anasema Mwisho alikuwa anaongea yote hayo kwasababu alikuwa anamuhofia yeye na kuendelea kumpasha Mwisho “jitazame kwanza wewe mwenyewe halafu nitazame na mimi hutaelewa.utajikuta unanihofia ndio maana unasema mpenzi wako ananiogopa,”hayo ni maneno ya Uti.
Munya akaingilia kati na kuwaeleza kuwa Uti amewafanya watu kujihisi wanyonge na hawapi nafasi kujitutumua kwake.
Wakati hayo yakiendelea Uti akaendelea na kile alichokuwa akizungumza na Mwisho kwa kuongeza kuwa mara zote Mwisho amekuwa hana nafasi kwake ndio maana ina muuma .
Mwisho akaendelea kusisitiza kuwa washiriki wanawake wamekuwa wakimuogopa Uti kwasababu amekuwa akiwatukana na hivyo kumpa nafasi.
Uti anasema Mwisho Mwampamba anamhofia sana kufuatia kuonekana kuwa na umri mzuri na wanawake wanamuheshimu .Katika kile kinachonekana kuwa kama kuanza kuogopana katika kazungumzo ya chini kwa chini Mwisho anamwambia Uti kuwa Meryl hasemi lolote baya kuhusu Uti,huku Uti mwenyewe akijibu kwa kusema ni kwasababu anavyowatendea wanawake.
Na anaendelea kumpasha Mwisho kuwa hadhani kama atafanya jambo baya kwao kwasababu anawaheshimu lakini Mwisho anamwambia Uti kuwa ni kwasababu wanawake anawatisha ndio maana wana muheshimu.
Katika hatu nyingine , Uti anasema Mwisho alikuwa anaongea yote hayo kwasababu alikuwa anamuhofia yeye na kuendelea kumpasha Mwisho “jitazame kwanza wewe mwenyewe halafu nitazame na mimi hutaelewa.utajikuta unanihofia ndio maana unasema mpenzi wako ananiogopa,”hayo ni maneno ya Uti.
Munya akaingilia kati na kuwaeleza kuwa Uti amewafanya watu kujihisi wanyonge na hawapi nafasi kujitutumua kwake.Wakati hayo yakiendelea Uti akaendelea na kile alichokuwa akizungumza na Mwisho kwa kuongeza kuwa mara zote Mwisho amekuwa hana nafasi kwake ndio maana ina muuma .
Mwisho akaendelea kusisitiza kuwa washiriki wanawake wamekuwa wakimuogopa Uti kwasababu amekuwa akiwatukana na hivyo kumpa nafasi.
LIONEL MESS AKUMBWA NA BALAA, SASA KUSUBIRI KWA WIKI MBILI
Hali ya nyota wa Barcelona Lionel Messi imeingia katika utata kufuatia kukumbana na matatizo yanayoaminika kuwa ni ankle ambayo yametokana na na mchezo ambao Barcelona walikuwa dimbani dhidi ya Atletico Madrid katika ligi kuu ya hispnia maarufu kama La Liga ambapo Barca wameibuka na ushindi wa mabao 2-1.
Mshambuliaji huyo raia wa Argentina alilazimika kubebwa katika machela na kutolewa nje katika dakika za majeruhi baada ya tackling toka kwa mlinzi wa Atletico Tomas Ujfalusi na huenda sasa akawa nje ya dimba kwa takribani wiki mbili.
Taarifa ya klabu ya Barcelona kupitia mtandao imethibitisha kuwa Messi ameumia katika mshipa wa wa ankle katika mguu wa kulia.
Mchezaji huyo bora wa dunia wa mwaka huu anatarajiwa sasa kufanyiwa vipimo hii leo jumatatu kuangaliwa ukubwa wa majeraha yenyewe.
Licha ya mlinzi Ujfalusi kukabidhiwa kadi ya pili ya njano kwa tukio hilo lakini bado kocha wa Barcelona Pep Guardiola amemlalamikia mwamuzi wa mchezo huo David Fernández Borbalán.
Anasema "ni kweli tumeshinda mchezo lakini tunasikitishwa na Messi,"
Anasema “si tu Cristiano Ronaldo anaye hitaji ulinzi mwamuzi napaswa kulinda wachezaji wote."
Messi sasa huenda atakosekana katika michezo ya ligi dhidi ya Sporting Gijon, Real Mallorca na Athletic Bilbao pamoja na mchezo wa ligi ya mabingwa dhidi ya Rubin Kazan September 29.
Katika mchezo huo Messi alifunga bao la kuongoza la Barcelona katika dakika ya 13 mchezo ambao umepigwa katika dimba la Vicente Calderon Stadium,kabla ya Raul Garcia kusawazisha dakika 11 baadaye na bao la pili kuwekwa kimiani na Gerard Pique
Hali ya nyota wa Barcelona Lionel Messi imeingia katika utata kufuatia kukumbana na matatizo yanayoaminika kuwa ni ankle ambayo yametokana na na mchezo ambao Barcelona walikuwa dimbani dhidi ya Atletico Madrid katika ligi kuu ya hispnia maarufu kama La Liga ambapo Barca wameibuka na ushindi wa mabao 2-1.Mshambuliaji huyo raia wa Argentina alilazimika kubebwa katika machela na kutolewa nje katika dakika za majeruhi baada ya tackling toka kwa mlinzi wa Atletico Tomas Ujfalusi na huenda sasa akawa nje ya dimba kwa takribani wiki mbili.
Taarifa ya klabu ya Barcelona kupitia mtandao imethibitisha kuwa Messi ameumia katika mshipa wa wa ankle katika mguu wa kulia.
Mchezaji huyo bora wa dunia wa mwaka huu anatarajiwa sasa kufanyiwa vipimo hii leo jumatatu kuangaliwa ukubwa wa majeraha yenyewe.
Licha ya mlinzi Ujfalusi kukabidhiwa kadi ya pili ya njano kwa tukio hilo lakini bado kocha wa Barcelona Pep Guardiola amemlalamikia mwamuzi wa mchezo huo David Fernández Borbalán.Anasema "ni kweli tumeshinda mchezo lakini tunasikitishwa na Messi,"
Anasema “si tu Cristiano Ronaldo anaye hitaji ulinzi mwamuzi napaswa kulinda wachezaji wote."
Messi sasa huenda atakosekana katika michezo ya ligi dhidi ya Sporting Gijon, Real Mallorca na Athletic Bilbao pamoja na mchezo wa ligi ya mabingwa dhidi ya Rubin Kazan September 29.
Katika mchezo huo Messi alifunga bao la kuongoza la Barcelona katika dakika ya 13 mchezo ambao umepigwa katika dimba la Vicente Calderon Stadium,kabla ya Raul Garcia kusawazisha dakika 11 baadaye na bao la pili kuwekwa kimiani na Gerard Pique
LIVEPOOL YAKAMULIWA NA MASHETANI WEKUNDU OLD TRAFFORD
PREMIER LEAGUE ROUND-UP
Berbatov angara katika ushindi wa United ilhali The Blues wakiendeleza ubabe wao
Mabao matatu ikiwa ni mara yake ya kwanza kufanya hivyo yaani “hat trick” ya Dimitar Berbatov yanaiwezesha Manchester United kupata ushindi mnono wa mbao 3-2 dhidi ya Liverpool huku mabao ya Liverpool yakiwekwa kimiani na Steven Gerrard
Hata hivyo Chelsea imeendelea kusalia katika usukani wa ligi hiyo baada ya kuikamua Blackpool kwa jumla ya mabao 4-0.
Mabao ya Chelsea yakiwekwa kimiani na Salomon Kalou, florent Malouda akikamua mara mbili huku Didier Drogba akipeleka kimiani mara moja
Mchezo mwingine Manchester City wamefanikiwa kupata ushindi wa mabao 2-0 huku mabao yakiwekwa kimiani na Yaya Toure ambaye amefanikiwa kufunga bao lake la kwanza katika mchezo uliopigwa katika dimba DW na huku bao lingine ambalo lilikuwa la kwanza likifungwa na Carlos Tevez
PREMIER LEAGUE ROUND-UPBerbatov angara katika ushindi wa United ilhali The Blues wakiendeleza ubabe wao
Mabao matatu ikiwa ni mara yake ya kwanza kufanya hivyo yaani “hat trick” ya Dimitar Berbatov yanaiwezesha Manchester United kupata ushindi mnono wa mbao 3-2 dhidi ya Liverpool huku mabao ya Liverpool yakiwekwa kimiani na Steven Gerrard
Hata hivyo Chelsea imeendelea kusalia katika usukani wa ligi hiyo baada ya kuikamua Blackpool kwa jumla ya mabao 4-0.
Mabao ya Chelsea yakiwekwa kimiani na Salomon Kalou, florent Malouda akikamua mara mbili huku Didier Drogba akipeleka kimiani mara moja
Mchezo mwingine Manchester City wamefanikiwa kupata ushindi wa mabao 2-0 huku mabao yakiwekwa kimiani na Yaya Toure ambaye amefanikiwa kufunga bao lake la kwanza katika mchezo uliopigwa katika dimba DW na huku bao lingine ambalo lilikuwa la kwanza likifungwa na Carlos Tevez
RUSSELL BRAND NA KETY PERRY KIZUIZINI LOS ANGELES AIRPORT
Russell Brand alijikuta katika matatizo na kuwekwa kizuizini kwa muda katika jaribio lake la kutaka kumfanyia kitu mbaya mpiga picha katika uwanja wa ndege wa Los Angeles pale ambapo British actor/comedian huyo mwenye umri wa miaka 35 akiwa na mchumba wake nyota wa miondoko ya pop Katy Perry walipokuwa katika maandalizi ya kukwea pipa tayari kuelekea Las Vegas.
Tukio hilo la Brand limetokea ijumaa ambapo alizuiliwa kwa muda na kuwekwa sero kufuatia kitendo cha paparazzi huyo kutaka kudaka picha ya “chap chap” toka kwa mastaa hao.
Brand alifunguliwa mashitaka katika kituo kidogo cha LAPD's Pacific Division na kuachiwa kwa dhamana ya dolari za kimarekani $20,000.Aliachiwa baadaye sana ijumaa hasa baada ya kujitambuliasha taarifa zikitolewa na msemaji wa Los Angeles Airport Police Belinda Nettles .
Inaarifiwa kuwa mshindi huyo mara mbili wa tuzo za MTV Video Music Awards alikuwa akizongwa na mapaparazi wakati akijaribu kuingia katika terminal
Kidosho wake Perry ame-comment juu ya hilo kupitia Twitter juu ya sakata hilo akikaririwa akiandika kuwa mpenzi wake alikuwa akimlinda yeye na kamera zilizo kuwa zikimmulika
"If you cross the line & try an put a lens up my dress, my fiancé will do his job & protect me.
Russell Brand alijikuta katika matatizo na kuwekwa kizuizini kwa muda katika jaribio lake la kutaka kumfanyia kitu mbaya mpiga picha katika uwanja wa ndege wa Los Angeles pale ambapo British actor/comedian huyo mwenye umri wa miaka 35 akiwa na mchumba wake nyota wa miondoko ya pop Katy Perry walipokuwa katika maandalizi ya kukwea pipa tayari kuelekea Las Vegas.Tukio hilo la Brand limetokea ijumaa ambapo alizuiliwa kwa muda na kuwekwa sero kufuatia kitendo cha paparazzi huyo kutaka kudaka picha ya “chap chap” toka kwa mastaa hao.
Brand alifunguliwa mashitaka katika kituo kidogo cha LAPD's Pacific Division na kuachiwa kwa dhamana ya dolari za kimarekani $20,000.Aliachiwa baadaye sana ijumaa hasa baada ya kujitambuliasha taarifa zikitolewa na msemaji wa Los Angeles Airport Police Belinda Nettles .
Inaarifiwa kuwa mshindi huyo mara mbili wa tuzo za MTV Video Music Awards alikuwa akizongwa na mapaparazi wakati akijaribu kuingia katika terminal
Kidosho wake Perry ame-comment juu ya hilo kupitia Twitter juu ya sakata hilo akikaririwa akiandika kuwa mpenzi wake alikuwa akimlinda yeye na kamera zilizo kuwa zikimmulika
"If you cross the line & try an put a lens up my dress, my fiancé will do his job & protect me.
FANTASIA ARUHUSU KIPANDE CHA JARIBIO LAKE LA KUJIUA KWA ASPIRINE KUCHOMEKEWA KATIKA FILAMU YAKE YA "FANTASIA FOR REAL"
Fantasia ameruhusu kipande cha sauti ya jaribio lake la kutaka kujiua kuchomokewa katika filamu yake itakayokwenda kwa jina la “VH1 reality show "Fantasia for Real," hii ni kwa mujibu wa mwalimu wake anayemfundisha na kitahusika kile ambacho kimerekodiwa tayari katika mtandao wakati wa jaribio hilo.
Itahusisha sehemu ya sauti za mlio wa king’ora vya huduma ya haraka ya “audio of the 911 call” kuanzia eneo ambalo mshindi huyo wa zamani wa "American Idol"alipokunywa dawa aina ya Aspirine mpaka kuelekea hospitali akiwa na plaster aina ya IV mkononi .
Akikaririwa anasema "I have not fulfilled my destiny," Fantasia says in a voiceover. "It's not time for me to go anywhere. And i can still fight, still keep going.
"Let them talk. Let them say what they wanna say, but I'm still here," ameongeza Fantasia.
Katika filamu hiyo ya "Fantasia for Real" anaonekana pia nyota huyo wa muziki akipokea cheti cha ngazi ya diploma katika kuelekea kutoka kwa kwa album yake mpya ya "Back to Me." Iliyotoka Aug. 24, na kupelekea kukamata nambari No. 2 katika chati za Billboard nyimbo 200 bora huku kopi 117,000 zikuuzwa katika wili ya kwanza kwa mujibu wa Nielsen SoundScan.
Fantasia alijipiga mzigo wa dozi ya aspirin Aug. 9, baada ya kuhusishwa na tukio la kuvunja ndoa za watu.

Fantasia ameruhusu kipande cha sauti ya jaribio lake la kutaka kujiua kuchomokewa katika filamu yake itakayokwenda kwa jina la “VH1 reality show "Fantasia for Real," hii ni kwa mujibu wa mwalimu wake anayemfundisha na kitahusika kile ambacho kimerekodiwa tayari katika mtandao wakati wa jaribio hilo.
Itahusisha sehemu ya sauti za mlio wa king’ora vya huduma ya haraka ya “audio of the 911 call” kuanzia eneo ambalo mshindi huyo wa zamani wa "American Idol"alipokunywa dawa aina ya Aspirine mpaka kuelekea hospitali akiwa na plaster aina ya IV mkononi .
Akikaririwa anasema "I have not fulfilled my destiny," Fantasia says in a voiceover. "It's not time for me to go anywhere. And i can still fight, still keep going.
"Let them talk. Let them say what they wanna say, but I'm still here," ameongeza Fantasia.
Katika filamu hiyo ya "Fantasia for Real" anaonekana pia nyota huyo wa muziki akipokea cheti cha ngazi ya diploma katika kuelekea kutoka kwa kwa album yake mpya ya "Back to Me." Iliyotoka Aug. 24, na kupelekea kukamata nambari No. 2 katika chati za Billboard nyimbo 200 bora huku kopi 117,000 zikuuzwa katika wili ya kwanza kwa mujibu wa Nielsen SoundScan.
Fantasia alijipiga mzigo wa dozi ya aspirin Aug. 9, baada ya kuhusishwa na tukio la kuvunja ndoa za watu.
BEYONCE YUKO KATIKA MAANDALIZI YA ALBUM MPYA

Baada ya kuwa katika mapumziko ya muda tangu mapema mwaka hatimaye Beyonce sasa anajipanga kwa ajili ya albamu yake ya nne mpya kali "biggest album ever," kwa mujibu wa mwandishi wa mashairi ya nyimbo hizo ambaye pia ndiye mtayarishaji wake Sean Garrett. Katika mahojiano na PopEater, Garrett, ambaye amewahi kufanya naye kazi katika ngoma kadhaa kama vile "Video Phone" na "Upgrade U," anasema pop star huyo anaelekea kujifua kuelekea katika album yake hiyo ambayo wanatarajia kuanza kuifanyia kazi ndani ya mwezi huu
Friday, September 17, 2010
KADY GAGA ATO VIDEO YA DON'T ASK DON'T TELL
Lady Gaga Releases Anti-'Don't Ask Don't Tell' Video
Lady Gaga Lady Gaga posted a seven-and-a-half minute video on her website this morning (Sept. 17) to express her opposition against the U.S. Armed Forces' "Don't Ask Don't Tell" policy and to encourage politicians and fans alike to vote for the Defense Authorization Bill, which includes language that would repeal the policy, next week.
"'Don't Ask Don't Tell' is a law that was created in 1993 that prevents gays from serving openly in the military. Since then, 14,000 Americans have been discharged from the armed forces, refused the right to serve their country and sent home, regardless of honorable service or how valuable they were to their units," Gaga explains in clip.
"SLDN's [Servicemembers Legal Defense Network] advocacy proves that these soldiers are being searched, superiors are going through their e-mails and private belongings, calling family members and operating based on assumptions," she continues. "Ultimately, the law is being enforced using gay profiling and gay soldiers have become targets. In short, not only is the law unconstitutional, but it's not even being properly enforced by the government."
Gaga continues by sharing anecdotes of those military soldiers who have been affected by the law and providing information on how viewers can contact their senators about the Defense Authorization Bill. In showing solidarity, Gaga calls the offices of her senators, New York Democrats Charles Schumer and Kirsten Gillibrand, but isn't able to speak with or leave messages for either.
"I have called both of the senators that operate in my district," she says. "I will not stop calling until I reach them and I can leave them this message: 'I am a constituent of the senator, my name is Stefani Joanne Angelina Germanotta, also known as Lady Gaga. I'm calling to ask the senator to vote with Senators Harry Reid and Carl Levin to repeal 'Don't Ask, Don't Tell' and oppose John McCain's shameless filibuster. We need to do this for our gay and lesbian soldiers, and finally repeal 'Don't Ask, Don't Tell.' "
In the end, she encourages her fans to try calling again after 9am tomorrow (Sept. 18) morning, assuring, "I'll be on the phone, too."
Lady Gaga posted a seven-and-a-half minute video on her website this morning (Sept. 17) to express her opposition against the U.S. Armed Forces' "Don't Ask Don't Tell" policy and to encourage politicians and fans alike to vote for the Defense Authorization Bill, which includes language that would repeal the policy, next week.
"'Don't Ask Don't Tell' is a law that was created in 1993 that prevents gays from serving openly in the military. Since then, 14,000 Americans have been discharged from the armed forces, refused the right to serve their country and sent home, regardless of honorable service or how valuable they were to their units," Gaga explains in clip.
"SLDN's [Servicemembers Legal Defense Network] advocacy proves that these soldiers are being searched, superiors are going through their e-mails and private belongings, calling family members and operating based on assumptions," she continues. "Ultimately, the law is being enforced using gay profiling and gay soldiers have become targets. In short, not only is the law unconstitutional, but it's not even being properly enforced by the government."
Gaga continues by sharing anecdotes of those military soldiers who have been affected by the law and providing information on how viewers can contact their senators about the Defense Authorization Bill. In showing solidarity, Gaga calls the offices of her senators, New York Democrats Charles Schumer and Kirsten Gillibrand, but isn't able to speak with or leave messages for either.
"I have called both of the senators that operate in my district," she says. "I will not stop calling until I reach them and I can leave them this message: 'I am a constituent of the senator, my name is Stefani Joanne Angelina Germanotta, also known as Lady Gaga. I'm calling to ask the senator to vote with Senators Harry Reid and Carl Levin to repeal 'Don't Ask, Don't Tell' and oppose John McCain's shameless filibuster. We need to do this for our gay and lesbian soldiers, and finally repeal 'Don't Ask, Don't Tell.' "
In the end, she encourages her fans to try calling again after 9am tomorrow (Sept. 18) morning, assuring, "I'll be on the phone, too."
Foxy Brown Foxy Brown helped rev the crowd after the Incubator fashion show at Capitale in NYC this
Sporting a form-fitting white dress and Lil' Kim-esque blue contacts, Brown strutted down the runway after models showed off the new YFC by Yellow Fever collection by Jamison Ernest. The hip-hoptress shook hands with members of the front row as she spit rhymes and shook her stuff for the camera.
Though the performance was short, Brown was pictured sitting with rap mogul Russell Simmons at the show and at one point got pretty up-close and personal with "America's Next Top Model" judge André Leon Talley - who seemed less than pleased with the contact.
The performance comes one week after Brown entered a plea of "Not Guilty" in relation to a court order violation that stemmed from a domestic dispute with her Brooklyn neighbor.
Lady Gaga Releases Anti-'Don't Ask Don't Tell' VideoLady Gaga Lady Gaga posted a seven-and-a-half minute video on her website this morning (Sept. 17) to express her opposition against the U.S. Armed Forces' "Don't Ask Don't Tell" policy and to encourage politicians and fans alike to vote for the Defense Authorization Bill, which includes language that would repeal the policy, next week.
"'Don't Ask Don't Tell' is a law that was created in 1993 that prevents gays from serving openly in the military. Since then, 14,000 Americans have been discharged from the armed forces, refused the right to serve their country and sent home, regardless of honorable service or how valuable they were to their units," Gaga explains in clip.
"SLDN's [Servicemembers Legal Defense Network] advocacy proves that these soldiers are being searched, superiors are going through their e-mails and private belongings, calling family members and operating based on assumptions," she continues. "Ultimately, the law is being enforced using gay profiling and gay soldiers have become targets. In short, not only is the law unconstitutional, but it's not even being properly enforced by the government."
Gaga continues by sharing anecdotes of those military soldiers who have been affected by the law and providing information on how viewers can contact their senators about the Defense Authorization Bill. In showing solidarity, Gaga calls the offices of her senators, New York Democrats Charles Schumer and Kirsten Gillibrand, but isn't able to speak with or leave messages for either.
"I have called both of the senators that operate in my district," she says. "I will not stop calling until I reach them and I can leave them this message: 'I am a constituent of the senator, my name is Stefani Joanne Angelina Germanotta, also known as Lady Gaga. I'm calling to ask the senator to vote with Senators Harry Reid and Carl Levin to repeal 'Don't Ask, Don't Tell' and oppose John McCain's shameless filibuster. We need to do this for our gay and lesbian soldiers, and finally repeal 'Don't Ask, Don't Tell.' "
In the end, she encourages her fans to try calling again after 9am tomorrow (Sept. 18) morning, assuring, "I'll be on the phone, too."
Lady Gaga posted a seven-and-a-half minute video on her website this morning (Sept. 17) to express her opposition against the U.S. Armed Forces' "Don't Ask Don't Tell" policy and to encourage politicians and fans alike to vote for the Defense Authorization Bill, which includes language that would repeal the policy, next week.
"'Don't Ask Don't Tell' is a law that was created in 1993 that prevents gays from serving openly in the military. Since then, 14,000 Americans have been discharged from the armed forces, refused the right to serve their country and sent home, regardless of honorable service or how valuable they were to their units," Gaga explains in clip.
"SLDN's [Servicemembers Legal Defense Network] advocacy proves that these soldiers are being searched, superiors are going through their e-mails and private belongings, calling family members and operating based on assumptions," she continues. "Ultimately, the law is being enforced using gay profiling and gay soldiers have become targets. In short, not only is the law unconstitutional, but it's not even being properly enforced by the government."
Gaga continues by sharing anecdotes of those military soldiers who have been affected by the law and providing information on how viewers can contact their senators about the Defense Authorization Bill. In showing solidarity, Gaga calls the offices of her senators, New York Democrats Charles Schumer and Kirsten Gillibrand, but isn't able to speak with or leave messages for either.
"I have called both of the senators that operate in my district," she says. "I will not stop calling until I reach them and I can leave them this message: 'I am a constituent of the senator, my name is Stefani Joanne Angelina Germanotta, also known as Lady Gaga. I'm calling to ask the senator to vote with Senators Harry Reid and Carl Levin to repeal 'Don't Ask, Don't Tell' and oppose John McCain's shameless filibuster. We need to do this for our gay and lesbian soldiers, and finally repeal 'Don't Ask, Don't Tell.' "
In the end, she encourages her fans to try calling again after 9am tomorrow (Sept. 18) morning, assuring, "I'll be on the phone, too."
Foxy Brown Foxy Brown helped rev the crowd after the Incubator fashion show at Capitale in NYC thisSporting a form-fitting white dress and Lil' Kim-esque blue contacts, Brown strutted down the runway after models showed off the new YFC by Yellow Fever collection by Jamison Ernest. The hip-hoptress shook hands with members of the front row as she spit rhymes and shook her stuff for the camera.
Though the performance was short, Brown was pictured sitting with rap mogul Russell Simmons at the show and at one point got pretty up-close and personal with "America's Next Top Model" judge André Leon Talley - who seemed less than pleased with the contact.
The performance comes one week after Brown entered a plea of "Not Guilty" in relation to a court order violation that stemmed from a domestic dispute with her Brooklyn neighbor.
KANYE WEST NA GWEN STEFANI NA WAKALI WENGINE WAHUDHURIA L.A.M.B FASHION SHOW AFTER PART
POTW: Kanye West, Gwen Stefani, Courtney Love, Ciara
Florence and the Machine Kanye West and designer Gwen Stefani attended the L.A.M.B. fashion show afterparty, Tory Burch dusted West's shoulder off, Courtney Love got glitzy for Narciso, Florence from Florence and the Machine looked angelic in white, Kelly Rowland and Kelly Osbourne sat front row, Ciara towered over Betsy Johnson, M.I.A. shook hands with Lenny Kravitz, Solange worked the shows -- literally, Jennifer Lopez got friendly with Bradley Cooper and the Ronsons were everywhere. It all happened this week and we've got the pics to prove it.
POTW: Kanye West, Gwen Stefani, Courtney Love, CiaraFlorence and the Machine Kanye West and designer Gwen Stefani attended the L.A.M.B. fashion show afterparty, Tory Burch dusted West's shoulder off, Courtney Love got glitzy for Narciso, Florence from Florence and the Machine looked angelic in white, Kelly Rowland and Kelly Osbourne sat front row, Ciara towered over Betsy Johnson, M.I.A. shook hands with Lenny Kravitz, Solange worked the shows -- literally, Jennifer Lopez got friendly with Bradley Cooper and the Ronsons were everywhere. It all happened this week and we've got the pics to prove it.
Thursday, September 16, 2010
VIGOGO VYA SOKA ULAYA VYAPATA MATOKEO MAZURI LIGI YA MABIGWA
Chelsea and Arsenal starred in Champions League Wednesday action while AC Milan, Real Madrid and Bayern Munich all won as well.
Cesc Fabregas and Carlos Vela each scored twice as Arsenal kicked off their latest Champions League campaign in emphatic fashion with a 6-0 hammering of Braga at the Emirates Stadium.
Fabregas' ninth-minute penalty set the tone of a thoroughly one-sided affair on a big night for English clubs, with the Gunners' Barclays Premier League rivals Chelsea also routing Zilina in Slovakia.
Andrey Arshavin and Jack Wilshere put Arsene Wenger's men out of sight by half-time and after Fabregas' second it was left to the man who replaced him, Vela, to round off the victory.
Chelsea enjoyed a similarly resounding success in Slovakia with Nicolas Anelka's double steering Carlo Ancelotti's men home to a 4-1 win.
Michael Essien had opened the scoring after 13 minutes and Daniel Sturridge swept home the Blues' fourth.
Jose Mourinho's Real Madrid eased to a 2-0 win over Ajax at the Bernabeu but they were made to work for their victory which came via a goal in each half from Gonzalo Higuain.
Also in Group G, former winners AC Milan were pushed by French underdogs Auxerre before recent signing Zlatan Ibrahimovic showed his worth with a pair of goals to secure a 2-0 win for the Italians.
Bayern Munich left it late to see off Roma in Group E, with Thomas Muller's brilliant 78th-minute volley
breaking the deadlock for the Germans and then a close-range effort from Miroslav Klose sealing the points.
Also in Group E, Romanians CFR Cluj got off to a winning start, with Ionut Rada and Lacina Traore scoring early in a 2-1 win over Swiss side Basle, for whom Valentin Stocker's 44th-minute header was not enough.
Chelsea and Arsenal starred in Champions League Wednesday action while AC Milan, Real Madrid and Bayern Munich all won as well.Cesc Fabregas and Carlos Vela each scored twice as Arsenal kicked off their latest Champions League campaign in emphatic fashion with a 6-0 hammering of Braga at the Emirates Stadium.
Fabregas' ninth-minute penalty set the tone of a thoroughly one-sided affair on a big night for English clubs, with the Gunners' Barclays Premier League rivals Chelsea also routing Zilina in Slovakia.Andrey Arshavin and Jack Wilshere put Arsene Wenger's men out of sight by half-time and after Fabregas' second it was left to the man who replaced him, Vela, to round off the victory.
Chelsea enjoyed a similarly resounding success in Slovakia with Nicolas Anelka's double steering Carlo Ancelotti's men home to a 4-1 win.Michael Essien had opened the scoring after 13 minutes and Daniel Sturridge swept home the Blues' fourth.
Jose Mourinho's Real Madrid eased to a 2-0 win over Ajax at the Bernabeu but they were made to work for their victory which came via a goal in each half from Gonzalo Higuain.
Also in Group G, former winners AC Milan were pushed by French underdogs Auxerre before recent signing Zlatan Ibrahimovic showed his worth with a pair of goals to secure a 2-0 win for the Italians.Bayern Munich left it late to see off Roma in Group E, with Thomas Muller's brilliant 78th-minute volley
breaking the deadlock for the Germans and then a close-range effort from Miroslav Klose sealing the points.Also in Group E, Romanians CFR Cluj got off to a winning start, with Ionut Rada and Lacina Traore scoring early in a 2-1 win over Swiss side Basle, for whom Valentin Stocker's 44th-minute header was not enough.
Subscribe to:
Posts (Atom)












