KWA MAWASILIANO ZAIDI TUMIA BARUA PEPE rockersports212@yahoo.com AU TUPIGIE KUPITIA NAMBARI 0767166607 AU 0717166607. KARIBU SANA. 66666666607 AU 0717166607

Wednesday, March 6, 2013

RONALDO AREJEA OLD TRAFFORD KUIMALIZA NDOTO YA FERGUSON KUTWAA TAJI LA KLABU BINGWA ULAYA.

Crushed: United were sent out by the foot a man the fans used to idolise
Bao la Ronaldo limeiondosha timu yake ya zamani United vilabu bingwa Ulaya.

Mabao mawili yaliyofungwa na Luka Modric na Cristiano Ronaldo yamefakisha kuivusha Real Madrid kuelekea hatua ya timu nane za mwisho ya ligi ya mabingwa barani Ulaya mchezo wa pili wa marudiano uliopigwa Old Trafford.
Ni mchezo ambao umeacha gumzo kubwa kabla ya filimbi ya mwisho ya mchezo huo kufuatia Luis Nani kuzawadiwa kadi nyekundu baada ya madhambi Alvaro Arbeloa katika kipindi cha pili jambo ambalo liligeuza mchezo huo.
 Mpaka kadi hiyo inatolewa United ilikuwa mbele kwa bao 1-0 likiwa ni bao la kujifunza mwenyewe Sergio Ramos.
Match winner: Ronaldo's goal sent his former team-mates crashing out of the Champions League Kikosi cha Man United:
 De Gea, Da Silva (Valencia 87), Vidic, Ferdinand, Evra, Carrick, Cleverley (Rooney 73), Nani, Welbeck (Young 80), Giggs, van Persie.
wachezaji wa akiba ambao hawakutumika:
 Lindegaard, Evans, Hernandez, Kagawa.
Booked: Evra, Carrick
Kadi nyekundu
 : Nani 57.
Goli: Ramos (OG) 48.
Kikosi cha Real Madrid:
 Diego Lopez, Arbeloa (Modric 59), Varane, Sergio Ramos, Fabio Coentrao, Khedira, Alonso, Di Maria (Kaka 42), Ozil (Pepe 71), Ronaldo, Higuain.
Wachezaji wa akiba:
 Adan, Benzema, Albiol, Callejon.
Booked: Arbeloa, Pepe
Wafungaji: Modric 67, Ronaldo 69.
Mwamuzi wa kati:
 Cuneyt Cakir (Turkey).

Watazamaji: 74,959
Maamuzi ya mwamuzi wa kati kutoka nchini Utururi Cuneyt Cakir yameyeyusha matumaini yote ya Manchester United na kumuacha mlinzi Rio Ferdinand akimpigia makofi ya uchungu mwamuzi huyo huku kocha wa zamani wa Chelsea Jose Mourinho akishangilia  kabla ya kumpa maneno ya faraja Sir Alex Ferguson aliyekuwa amevimba kwa hasira muda mfupi kabla ya filimbi ya mwisho ya mchezo.
Sir Alex Furguson alilazimika kujenga zaidi nafasi ya kiungo akimtumia pia mkongwe Giggs kwa lengo la kumdhibiti Ronaldo jambo ambalo halikuzaa matunda, hata hivyo mkongwe huyo raia wa Wells alifanya kazi nzuri ya kupongezwa.
Pia alilazimika wakati fulani kufanya kazi ya uokoaji.
Itakumbukwa krosi ya Giggs iliyokwenda kwa Robin van Persie, ambaye jaribio lake la kuukwamisha mpira wavuni baada ya shuti lake kuzuiliwa na Sergio Ramos.
Mod stunner: The former Spurs midfielder fired home an unstoppable equaliser
Kiungo wa zamani wa Spurs akipiga shuti lililozaa bao ka kusawazisha.
Mod stunner: The former Spurs midfielder fired home an unstoppable equaliser
Namna Ronaldo alivyofunga goli la pili na la ushindi kwa Madrid.Crushed: United were sent out by the foot a a man the fans used to idolise
Ram raid: The Real defender directed the ball into his own net early in the second half
Sergio Ramos akijifunga mapema kipindi cha pili.
Ram raid: The Real defender directed the ball into his own net early in the second half
Red alert: United were reduced to 10 men after Nani was given his marching orders
Red alert: United were reduced to 10 men after Nani was given his marching orders

United walisalia wachezaji 10 kufuatia Luis Nani kutolewa nje kwa kadi nyekundu.
Red alert: United were reduced to 10 men after Nani was given his marching orders
Sir Alex
Sidelined: Rooney was sensationally dropped for the match and watched from the bench
Huzuni kwa mashabikiwa.
Slim pickings: Chances were at a premium in the first half, Welbeck went closest
Heads up: Vidic's effort rattled off the post mid way through the first 45 minutes
Mpira wa kichwa wa Nimanja Vidic uliogonga mwamba kuelekea dakika ya 45.
Heads up: Vidic's effort rattled off the post mid way through the first 45 minutes
Landmark: Giggs made his 1,000th appearance in a United shirt on the night
Sign of the times: Ronaldo received a warm welcome on his first match back at Old Trafford Sign of the times: Ronaldo received a warm welcome on his first match back at Old Trafford Sign of the times: Ronaldo received a warm welcome on his first match back at Old Trafford Sign of the times: Ronaldo received a warm welcome on his first match back at Old Trafford

No comments:

Post a Comment